Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hatari sana habari imesomwa kutoka UHAI Tv. Inasikitisha hawa ndugu zetu 80 kutolewa kafara baada ya mfungo. Wamekufa wakikanyagana kugombea misaada ya Eid.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana habari imesomwa kutoka UHAI Tv. Inasikitisha hawa ndugu zetu 80 kutolewa kafara baada ya mfungo. Wamekufa wakikanyagana kugombea misaada ya Eid.
Source ya habari hii ni wapi?
Yemen ni nchi iko vitani kama Somalia kwa miaka sasa hufuatilii habari za dunia Ngosha??Msaada wa chakula Uarabuni?!!
Wanamatatizo ya vita siunafaham.. hawajakufa kwavili walifunga au?? Imani inaingiaje hapa?? Unakukumbuka kipindi cha Nyerere alivoitia nchi kwenye njaa?? Njaa ni hatari sana.Linapokuja swala la imani, mwanadamu huu ni kiumbe mjinga kuliko viumbe wote duniani.
Imasikini ni mbaya sanaHatari sana habari imesomwa kutoka UHAI Tv. Inasikitisha hawa ndugu zetu 80 kutolewa kafara baada ya mfungo. Wamekufa wakikanyagana kugombea misaada ya Eid.
Wewe umenielewa!Nadhani wanaouana humo ndo makafir yenyewe yanauana tu na kuua wenzao.
Waaaaaaoo salary sleep umerudi kumbee. Nikuite salary work upLinapokuja swala la imani, mwanadamu huu ni kiumbe mjinga kuliko viumbe wote duniani.
Tayari toka last weekMwezi vipi huko haujaandama bado....?