#COVID19 Zaidi ya watu 800,000 wapata chanjo ya Uviko-19

#COVID19 Zaidi ya watu 800,000 wapata chanjo ya Uviko-19

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Zaidi ya watu 800,000 wapata chanjo ya Uviko-19

Wizara ya Afya imetoa takwimu hiyo leo ka zaidi ya watu laki nane wamepata Chanjo hiyo nchini.

Takwimu hiyo imetolewa na katibu mkuu wa wizara ya afya
 
Vipi hawajasema watafanya kitu gani hapo baadae ili namba iongezeke? Maama hawashindwi kupeleka mikebe ya chanjo kwa watumishi huko makazini
 
Vipi hawajasema watafanya kitu gani hapo baadae ili namba iongezeke? Maama hawashindwi kupeleka mikebe ya chanjo kwa watumishi huko makazini
Mbona kila njia ya kuwafanya watu wapate chanjo ipo.
Maana baadhi ya Taasisi ni lazima uwe umechanjwa.
 
Zaidi ya watu 800,000 wapata chanjo ya Uviko-19

Wizara ya Afya imetoa takwimu hiyo leo ka zaidi ya watu laki nane wamepata Chanjo hiyo nchini.
Takwimu hiyo imetolewa na katibu mkuu wa wizara ya afya
Hongera zao
 
Hizo takwimu Serikali isijiaminishe nazo inawezekana waliochanja kiukweli kabisa hata robo tatu hawavuki kwasababu kuna sehemu walimu waliletewa Mtaalamu wa afya kwaajili ya kuwachanja.

Wao walichokifanya ni kumhonga ambapo chango ilimwaga chini na watu wakaandikishwa kwenye kadi na kadi hizo wanazo.
 
Zile chanjo milioni1 bado bado hazijaisha kumbe😀 tuna safari ndefu kama Taifa
 
Hizo takwimu Serikali isijiaminishe nazo inawezekana waliochanja kiukweli kabisa hata robo tatu hawavuki kwasababu kuna sehemu walimu waliletewa Mtaalamu wa afya kwaajili ya kuwachanja,wao walichokifanya ni kumhonga ambapo chango ilimwaga chini na watu wakaandikishwa kwenye kadi na kadi hizo wanazo.
Kweli kabisa hiyo takwimu ina mashaka.

Hata hivyo haina umuhimu sana zaidi ya kuwafanya waonekane special kwa Watu weupe
 
Zile chanjo milioni1 bado bado hazijaisha kumbe😀 tuna safari ndefu kama Taifa
Hapo watu kama laki mbili wamebaki kumaliza dozi ya awali out of zaidi ya watu 65millions
 
Hizo takwimu Serikali isijiaminishe nazo inawezekana waliochanja kiukweli kabisa hata robo tatu hawavuki kwasababu kuna sehemu walimu waliletewa Mtaalamu wa afya kwaajili ya kuwachanja,wao walichokifanya ni kumhonga ambapo chango ilimwaga chini na watu wakaandikishwa kwenye kadi na kadi hizo wanazo.
Ni kweli kabisa waliochanja wanafikia hiyo idadi sio uongo
 
Kweli kabisa hiyo takwimu ina mashaka.
Hata hivyo haina umuhimu sana zaidi ya kuwafanya waonekane special kwa Watu weupe
Serikali yetu sasa hivi inafanya kila njia kujikomba kwa mabeberu ili kupata chochote.
 
Kwa hesabu isiyo rasmi, hao ni karibu 1.2% ya waTanzania wote
 
Hamna watu hewa mkuu,mimi niko huku,binafsi mwenyewe nimechanja,na utaratibu wa kuchanja jinsi ulivyo hakuwezi kuwa na mtu hewa
Karagabaoo.Watu Wana akili wewe. Juzi tu walisema ni 400,000,Leo eti 800,000 hii ni trick kuwa Uhamasishaji uliofanywa na Serikali umezaa matunda, hivyo wale watu wekundu wakisikia hivyo wanafurahi.Shitukaaaa.
 
Back
Top Bottom