#COVID19 Zaidi ya watu 800,000 wapata chanjo ya Uviko-19

#COVID19 Zaidi ya watu 800,000 wapata chanjo ya Uviko-19

Karagabaoo.Watu Wana akili wewe.Juzi tu walisema ni 400,000,Leo eti 800,000 hii ni trick kuwa Uhamasishaji uliofanywa na Serikali umezaa matunda, hivyo wale watu wekundu wakisikia hivyo wanafurahi.Shitukaaaa.
Hayo ni mawazo yako mkuu, ukweli ni kwamba hizi chanjo zilivyoanza kuingia watu walikuwa wanaziogopa sana na hata kwenye kuchanja ilichukua muda mrefu sana, nakumbuka hapa hospitali kwetu zilikuja kama 300 lakini juzi tu ndo zimeisha tangu mwezi wa 8 tarehe 4.

Kiukweli kazi ya kuwaelimisha watanzania ni kubwa sana na hilo linafanyika kila siku na siku zinavyokwenda muitikio unaongezeka na watu wanazidi kuchanja.
 
Karagabaoo.Watu Wana akili wewe.Juzi tu walisema ni 400,000,Leo eti 800,000 hii ni trick kuwa Uhamasishaji uliofanywa na Serikali umezaa matunda, hivyo wale watu wekundu wakisikia hivyo wanafurahi.Shitukaaaa.
Ila dunia hii yaani tunafanya kuwafurahisha wao.
 
Chanjo nzuri ni hiyo JJ ya mara moja ,hizo za kuchanja mara mbili JAU.
 
Wengine hata hatujui nzuri ni ipi tupo tupo tu

Nimewaza tu kama JJ ni one shot lakini mperampera badi dozi 1m hazijaisha ,vipi hizo nyingine za double shots? Si ndio inaweza ukachukua miaka mi5 kufikia target 80% waliochanjwa?
 
Hizo takwimu Serikali isijiaminishe nazo inawezekana waliochanja kiukweli kabisa hata robo tatu hawavuki kwasababu kuna sehemu walimu waliletewa Mtaalamu wa afya kwaajili ya kuwachanja,wao walichokifanya ni kumhonga ambapo chango ilimwaga chini na watu wakaandikishwa kwenye kadi na kadi hizo wanazo.
Aukifuatwa inbox unaweza kutoa ushirikiano!? Hasa kwa vyombo vinavyohusika!?
 
Nimewaza tu kama JJ ni one shot lakini mperampera badi dozi 1m hazijaisha ,vipi hizo nyingine za double shots? Si ndio inaweza ukachukua miaka mi5 kufikia target 80% waliochanjwa?
Kweli hizo zitakaa sana hadi mda wake uishe
 
Hayo ni mawazo yako mkuu, ukweli ni kwamba hizi chanjo zilivyoanza kuingia watu walikuwa wanaziogopa sana,na hata kwenye kuchanja ilichukua muda mrefu sana...
Haya bhana!!!,Nilikuwa SUA, Siku ya uzinduzi wa chanjo Maprofessa wengi hawakwenda kuchanja, wanafunzi ndo usiseme,nimeenda vijijini huko unakuta mzee anasema ana wasiwasi na chanjo kwahiyo hawezi kuchanja.

Hbr ya kwamba mwitikio ni mkubwa ni UWONGO kwasababu tangu chanjo imeletwa hadi leo kwa takwimu hizo hata km ni uongo bado ni kodogo Sana.Anyway Endeleeni kupiga propaganda ili watu weupe wafurahie.
 
Haya bhana!!!,Nilikuwa SUA, Siku ya uzinduzi wa chanjo Maprofessa wengi hawakwenda kuchanja, wanafunzi ndo usiseme,nimeenda vijijini huko unakuta mzee anasema ana wasiwasi na chanjo kwahiyo hawezi kuchanja.Hbr ya kwamba mwitikio ni mkubwa ni UWONGO kwasababu tangu chanjo imeletwa hadi leo kwa takwimu hizo hata km ni uongo bado ni kodogo Sana.Anyway Endeleeni kupiga propaganda ili watu weupe wafurahie.
Sawa
 
Haya bhana!!!,Nilikuwa SUA, Siku ya uzinduzi wa chanjo Maprofessa wengi hawakwenda kuchanja, wanafunzi ndo usiseme,nimeenda vijijini huko unakuta mzee anasema ana wasiwasi na chanjo kwahiyo hawezi kuchanja.Hbr ya kwamba mwitikio ni mkubwa ni UWONGO kwasababu tangu chanjo imeletwa hadi leo kwa takwimu hizo hata km ni uongo bado ni kodogo Sana.Anyway Endeleeni kupiga propaganda ili watu weupe wafurahie.
Umechanja Mkuu
 
CCM wajitikeze waelelze ni kwanini wanachama wao million 10 hawajajitokeza kumusaport mwenyekiti wao au wanaudharau uongozu wa chama uliopo?

vilevile CHADEMA nikwanini wanachama wao million 6 wamegoma kuunga witu wa mwenyekiti wao mbowe huu ya kuchanja licha ya yeyr kusema kutochanjwa ni ushamba.Je inamaana wanachama wachadema hawamuamini mwenyekuri wao?

inakuwaje hata mnyika anashindwa kuonyesha mfano wa kuchanja,,maana yake hamuamini mwenyekiti wake mbowe?
 
Back
Top Bottom