Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi walikuwa watanzania wote1.Juzi waliochanjwa walikuwa ni zaidi ya 100.000 leo wwe unakuja na 9000. Angalia vizuri
2. Hayo wanayosema ni madhara ni sideeffect kama za ALU, PPF INJ,Antisnake venom etc, dawahizo zipo tu hazijafutwa , zoezi la chanjo ni salama sana.
"Vaccines have been shown to provide good protection against severe disease and death from Delta, especially with two doses, but there is less data on whether vaccinated people can still transmit it to others."...
Jenny Harries, chief executive of the UK Health Security Agency, said the hospitalisation figures showed “once again how important it is that we all come forward to receive both doses of the vaccine as soon as we are able to do so”....
“Vaccination is the best tool we have in keeping ourselves and our loved ones safe from the serious disease risk COVID-19 can pose,” Harries said in a statement.
There're more to copy...kama tunataka kuchagua vya kucopy kutoka kwenye hiki chanzo cha habari
Zanzibar haiwezi chanja hao watu1.Juzi waliochanjwa walikuwa ni zaidi ya 100.000 leo wwe unakuja na 9000. Angalia vizuri
2. Hayo wanayosema ni madhara ni sideeffect kama za ALU, PPF INJ,Antisnake venom etc, dawahizo zipo tu hazijafutwa , zoezi la chanjo ni salama sana.
Mkuu unachosema ni kweli.mwezi wa 2 nilidungwa sindano tuchupa tuwili mda huhuo nilipata kichef chefu na kutamani kutapika, sindano ikagoma kupeleka dawa,nesi akabadilisha mkono. Yani ilikuwa hovyo kabisa. Madawa yote mwili hauyapendi sasa hii ta korona haina tofauti na dawa zingine.1.Juzi waliochanjwa walikuwa ni zaidi ya 100.000 leo wwe unakuja na 9000. Angalia vizuri
2. Hayo wanayosema ni madhara ni sideeffect kama za ALU, PPF INJ,Antisnake venom etc, dawahizo zipo tu hazijafutwa , zoezi la chanjo ni salama sana.
Nahisi wengi wetu hatujazoea kuripoti yanayotukuta, hivyo inachukuliwa hamna kilichotokea. Angalia hata case za ubakaji,Ni chache huripotiwa kuliko uhalisiaDingi yangu mdogo anapata maumivu ya ngozi ya kichwani. Anapata gas tumboni yupo kalazwa huko hayo madhara mnayosemea hayajapatikana sielewi mna maana gani
Hiyo ndiyo dunia ya kibepari inavyoenda.Hii ni statement ya wish-washy!!! They want you to take more jabs, then some more, then again and again, until you've made them zillionaires at the very expense of your health and life!!! Read the data clearly...
From July 19 to August 2, 55.1 percent of the 1,467 people hospitalized with the Delta variant were unvaccinated, PHE said, while 34.9 percent – or 512 people – had received two doses.
Miaka 15 ijayo corona itakua imeshakuondoaSawa, nenda kachome, ukiwa fresh baada ya miaka 15 nasi tutachoma
Ilisubiri nini tangu 2019 wakati sichukui tahadhari hata 1? Kuruhusu upate ugonjwa kisha upone ni moja wapi ya kujijengea kinga , ni zaidi ya chanjoMiaka 15 ijayo corona itakua imeshakuondoa