Zaiid ni mfano wa kuigwa na wasanii wa Tamaduni music

Duke Tachez

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
5,461
Reaction score
4,138
Wasanii wa Tamaduni music wanapaswa kujifunza kutoka kwa
Zaiid na wimbo wake wa wowowo ambao unabamba kinoma hivi
Sasa
Wowooooooooo!!!!!
 
Nyimbo zngne shda tu
Sawa na ile ya nuuh mziwanda
Jike shupa cjui wanaimbaga
nn
 
Nyimbo zngne shda tu
Sawa na ile ya nuuh mziwanda
Jike shupa cjui wanaimbaga
nn
 
Hahah ! Huo wimbo unapaswa kufunguwa haraka iwezekanavyo, hauna maadili kabisaa..

Pia uko Bias sana, flat screen wana pata tabu sana pindi wausikiapo huo

Umesababisha psychological effects wa kias kikubw hivyo kuwapelekea kutumia madawa ya kuongeza Nundu ili nao wawe WOWOWOWOOOOOOOO!
 
Mbona Tamaduni wamesha
switch karibia. wote ...songa alitangulia ....akafata ...Zaidi ..akafata Nikki mbishi....akafata ....One the incredible na Gheto Ambassador ...naona na Mansu Li...nae ameswitch .

Tamaduni sahv karbia wote wanapiga show sana ukicompare na nyuma ..walikuwa wanagemea hela ya downloader tu ...lakn now show wanapata japo sio sana.

Mziki wakuimba shida plus matatizo vijana awausapoti ..ila ukiimba ujinga flani ..unakubalika sana.
 
Zaiid au afya ndogo nilimkubali kama ,mmoja wa marapa wakali baada ya kuflow na nyimbo ya eminem lose urself kwa ufanisi wa hali ya juu
 
Ebu mwambie uyo
 
Wana chemistry nzuri sana na p the mc.
Ingawa kwenye wowowwo ndo hajanifurahisha japo wengi wamaipenda.
 
Huu wimbo wa WOWOWO ni psychological punishment kwa flat screen wote.

Nakumbuka maneno ya Darrasa;
Hii nchi yetu ukiimba Hip hop yenye ujumbe mzuri watu hawaku-suport, ila ukiimba upuuzi watakupa shavu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…