Uchaguzi 2020 Zakheim Mbagala: Yaliyojiri kwenye ufunguzi wa kampeni za NCCR-Mageuzi

Uchaguzi 2020 Zakheim Mbagala: Yaliyojiri kwenye ufunguzi wa kampeni za NCCR-Mageuzi

NCCR Mageuzi

Member
Joined
Oct 3, 2007
Posts
23
Reaction score
63
Chama cha NCCR-Mageuzi kinafanya uzinduzi wa kampeni pamoja na Ilani ya chama hii leo Septemba 05, 2020 kwenye Viwanja vya Zakheim, Mbagala jijini Dar es salaam. Viongozi mbalimbali akiwemo mwenyekiti wa chama ndugu James Francis Mbatia pamoja na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, mgombea mwenza ndugu Haji Ambar Khamis, wagombea Ubunge wa Dar es Salaam na viongozi wengine wamefika kwenye viwanja vya Zakheim.
nccrmageuziofficial_118837601_945107699317644_8933828192762119829_n.jpg


nccrmageuziofficial_118952357_120746862851407_5148086003863806345_n.jpg


nccrmageuziofficial_118742118_152859753134795_3462574165370278027_n.jpg
 
Poleni sana


Mngefanya tu kama Mrema ambae kaunga juhudi wazi wazi


Nina imani hamtapata hata diwani 1

Mama Tanzania punguza unafiki kwa sasa subiri teuzi labda!!
 
Chama cha NCCR-Mageuzi kinafanya uzinduzi wa kampeni pamoja na Ilani ya chama hii leo Septemba 05, 2020 kwenye Viwanja vya Zakheim, Mbagala jijini Dar es salaam. Viongozi mbalimbali akiwemo mwenyekiti wa chama ndugu James Francis Mbatia pamoja na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, mgombea mwenza ndugu Haji Ambar Khamis, wagombea Ubunge wa Dar es Salaam na viongozi wengine wamefika kwenye viwanja vya Zakheim.
View attachment 1559446

View attachment 1559447

View attachment 1559452
WAlirubuniwa na JIWE , wawe chama kikuu cha upinzani chenye wabunge 15 na CHADEMA kiwe na mbunge mmoja tu, Mwambe, sasa wanaula wa chuya.
 
NCCR wamehudhuria watu wengi kuliko mkutano wa uzinduzi wa Chadema

Nimeamini Chadema 2015 ilibebwa na UKAWA tu hakuwa na nguvu Dar
Upo mɓagala zakheim ???
 
Chama cha NCCR-Mageuzi kinafanya uzinduzi wa kampeni pamoja na Ilani ya chama hii leo Septemba 05, 2020 kwenye Viwanja vya Zakheim, Mbagala jijini Dar es salaam. Viongozi mbalimbali akiwemo mwenyekiti wa chama ndugu James Francis Mbatia pamoja na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, mgombea mwenza ndugu Haji Ambar Khamis, wagombea Ubunge wa Dar es Salaam na viongozi wengine wamefika kwenye viwanja vya Zakheim.
View attachment 1559446

View attachment 1559447

View attachment 1559452
Maganja hawezi kufikisha kura 10k nchi hii
 
Huu ni ufadhiri wa beberu ccm aliyewanunua Cuf, tlp, nccr na kamchomeka kachero membe pale act
 
Mbatia jinga tu eti "tutapewa majimbo 20", Nani alimdanganya majimbo yanagawiwa, Yule aliyemrubuni Hana uhakika Kama atarudi ikulu
 
Chama cha NCCR-Mageuzi kinafanya uzinduzi wa kampeni pamoja na Ilani ya chama hii leo Septemba 05, 2020 kwenye Viwanja vya Zakheim, Mbagala jijini Dar es salaam. Viongozi mbalimbali akiwemo mwenyekiti wa chama ndugu James Francis Mbatia pamoja na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, mgombea mwenza ndugu Haji Ambar Khamis, wagombea Ubunge wa Dar es Salaam na viongozi wengine wamefika kwenye viwanja vya Zakheim.
View attachment 1559446

View attachment 1559447

View attachment 1559452
Mziki umeanza Kinyungu
 
Huyo Mbatia kule Vunjo amemuachia nani? asimuigilize Mbowe yule ni mwamba, shauri yake asijelaumu mtu.
 
NCCR wamehudhuria watu wengi kuliko mkutano wa uzinduzi wa Chadema
Nimeamini Chadema 2015 ilibebwa na UKAWA tu hakuwa na nguvu Dar
Baada ya kufuatilia wilaya 20 za mikoa ya Nyanda za Juu, sasa umehamia Dar 😁. Kazi unayo!
 
Chini ya mwenyekiti Mbatia wakizundua kampeni za kitaifa kuelekea uchaguzi mkuu 28.10.2020, viwanja vya Mbagala Zakheem ...ila bwana Mbatia ungejikita Vunjo ya mjini tuachie wa kijijini.

Utuuuuuuu......NCCR......
 
Back
Top Bottom