Uchaguzi 2020 Zakheim Mbagala: Yaliyojiri kwenye ufunguzi wa kampeni za NCCR-Mageuzi

Uchaguzi 2020 Zakheim Mbagala: Yaliyojiri kwenye ufunguzi wa kampeni za NCCR-Mageuzi

NCCR wamehudhuria watu wengi kuliko mkutano wa uzinduzi wa Chadema

Nimeamini Chadema 2015 ilibebwa na UKAWA tu haikuwa na nguvu Dar
Weka picha kwa uthibitisho. Otherwuse ni porojo
 
Chama cha NCCR-Mageuzi kinafanya uzinduzi wa kampeni pamoja na Ilani ya chama hii leo Septemba 05, 2020 kwenye Viwanja vya Zakheim, Mbagala jijini Dar es salaam. Viongozi mbalimbali akiwemo mwenyekiti wa chama ndugu James Francis Mbatia pamoja na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, mgombea mwenza ndugu Haji Ambar Khamis, wagombea Ubunge wa Dar es Salaam na viongozi wengine wamefika kwenye viwanja vya Zakheim.
View attachment 1559446

View attachment 1559447

View attachment 1559452
Weee chadema ipi unaiongelea?? Chadema hii hapa au ?
IMG-20200905-WA0092.jpg
 
Angalia idadi ya watu.Chadema ndio hakuna chake mbagala

Kweli umekata pumzi, kwahiyo mgombea urais anashinda kwa kura za Mbagala tu? Kwa taarifa yako mama Maria kaua bendi huko Musoma.
 
Back
Top Bottom