ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Una njozi zako weyeNCCR wamehudhuria watu wengi kuliko mkutano wa uzinduzi wa Chadema
Nimeamini Chadema 2015 ilibebwa na UKAWA tu haikuwa na nguvu Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una njozi zako weyeNCCR wamehudhuria watu wengi kuliko mkutano wa uzinduzi wa Chadema
Nimeamini Chadema 2015 ilibebwa na UKAWA tu haikuwa na nguvu Dar
NCCR wamehudhuria watu wengi kuliko mkutano wa uzinduzi wa Chadema
Nimeamini Chadema 2015 ilibebwa na UKAWA tu haikuwa na nguvu Dar
Yehodaya si mzima wewe[emoji2]NCCR wamehudhuria watu wengi kuliko mkutano wa uzinduzi wa Chadema
Nimeamini Chadema 2015 ilibebwa na UKAWA tu haikuwa na nguvu Dar
Sawa. Kama tuna makengeza.NCCR wamehudhuria watu wengi kuliko mkutano wa uzinduzi wa Chadema
Nimeamini Chadema 2015 ilibebwa na UKAWA tu haikuwa na nguvu Dar
Weka picha kwa uthibitisho. Otherwuse ni porojoNCCR wamehudhuria watu wengi kuliko mkutano wa uzinduzi wa Chadema
Nimeamini Chadema 2015 ilibebwa na UKAWA tu haikuwa na nguvu Dar
angalia TBC wako liveWeka picha kwa uthibitisho. Otherwuse ni porojo
Weee chadema ipi unaiongelea?? Chadema hii hapa au ?Chama cha NCCR-Mageuzi kinafanya uzinduzi wa kampeni pamoja na Ilani ya chama hii leo Septemba 05, 2020 kwenye Viwanja vya Zakheim, Mbagala jijini Dar es salaam. Viongozi mbalimbali akiwemo mwenyekiti wa chama ndugu James Francis Mbatia pamoja na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi ndugu Yeremia Kulwa Maganja, mgombea mwenza ndugu Haji Ambar Khamis, wagombea Ubunge wa Dar es Salaam na viongozi wengine wamefika kwenye viwanja vya Zakheim.
View attachment 1559446
View attachment 1559447
View attachment 1559452
😂😂Chini ya mwenyekiti Mbatia wakizundua kampeni za kitaifa kuelekea uchaguzi mkuu 28.10.2020, viwanja vya Mbagala Zakheem ...ila bwana Mbatia ungejikita Vunjo ya mjini tuachie wa kijijini.
Utuuuuuuu......NCCR......
Angalia idadi ya watu.Chadema ndio hakuna chake mbagala