Zalan nayo ni timu ya kuiroga, aibu kubwa hii

Dah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo
Wakati Yanga wanavunja nazi kuwaroga Zalan wewe ulikuwa ukivujiwa na Nazi na nani?au ni yule yule basha wako wa siku zote.
 
Dah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo
Pamoja na Kufanya huo Upuuzi Wote kumbe Kocha Wao Mkuu Nabi hana Vigezo na leo atakuwa tu Jukwaani akiukodolea Mchezo mpaka pale CAF itakapohalalisha Uprofesa Uchwara wake usiokidhi Vigezo vya Kusimama leo katika Touchline kwa Mkapa.
 
Dah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo
Acha bhangi mbichi
 
Yanga ikifungwa na hyo timu nadhani gsm afikirie kupelea pesa zake katk biashea zake au akafungue kiwanda tu
 
Dah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo
Watu ni wambea sana
 
Dah nimepita sehem maeneo ya uwanja wa Taifa, mambo ya nje ya uwanja yanayofanyika ni hatari tupu, nashindwa kuelewa hivi hata Zalan ni ya kuvunja nazi mida hii, ina maana kwa usajili mlioufanya hamna uhakika na ushindi hiyo kesho, dah, kazi ipo
Ni wachezaji au viongozi waliokuwa wakivunja hizo nazi?
Je ulijuaje huyo mvunja nazi sio mtu wa Zalan?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…