mzee wa bwaksi
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 2,255
- 3,972
Mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya awali klabu bingwa Africa kati ya Zalan F.C ya Sudani kusini dhidi ya Yanga S.C utachezwa katika uwanja wa Chamazi complex unaomilikiwa na klabu ya Azam F.C tarehe 10 Sept wakati mchezo wa marudiano utapigwa uwanja wa Benjamini Mkapa tarehe 17 Sept.
N.b Yanga mshindwe wenyewe maana Michezo yote inafanyikia hapa nyumbani
N.b Yanga mshindwe wenyewe maana Michezo yote inafanyikia hapa nyumbani