Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kwa mujibu wa Taarifa za TCRA ambazo zimenukuliwa katika mtandao maarufu wa Wikipaedia, idadi ya Watanzania wenye kumiliki vyombo vya mawasilaino kwa maana ya Simu ni milioni 43.5 kati ya wananchi milioni 53.8
Hii inamaanisha kuwa takriban asilimia 80.8 ya wananchi wanaweza kupashana habari na kuwasiliana kupitia simu.
Wakati huo huo Wananchi wenye kuaccess Internet ni milion 22.3 sawa na asilimia 41.4 ya wananchi wote
Kwa hiyo hii inamaanisha kuwa wananchi wanao uwezo wa kupata taarifa za ndani ya nchi na nje ya nchi kupitia mtandao hata kama serikali inabana magazeti na television
Hii inakuonyesha kwa nini Rais Magufuli amewahi kutoa kauli ya kutamani malaika washuke wafungie mitandao. Hata hivyo pamoja na kuleta sheria za mitandao na kujaribu kabana content zitolewazo mitandaoni bado wananchi wanaweza kupata access ya taarifa mbadala
Kwa hiyo CCM na serikali yake wasijidanganye kuwa wanaweza kubana Taarifa au kueneza propaganda kiasi kwamba wakaweza kuwadanaganya watanzania muda wote
Cha msingi ni kwamba Wapinzani waandae strategy na wawekeze katika internet na mitandao ya kijamii, itawasaidia sana kufikisha ajenda zao kwa umma
Kwa taarifa zaidi juu ya hali ya matumizi ya Internet nchini unaweza kuipata hapa:
List of mobile network operators in Tanzania - Wikipedia.
Tanzania internet users hit 23 million; 82 percent go online via phones: regulator
Hii inamaanisha kuwa takriban asilimia 80.8 ya wananchi wanaweza kupashana habari na kuwasiliana kupitia simu.
Wakati huo huo Wananchi wenye kuaccess Internet ni milion 22.3 sawa na asilimia 41.4 ya wananchi wote
Kwa hiyo hii inamaanisha kuwa wananchi wanao uwezo wa kupata taarifa za ndani ya nchi na nje ya nchi kupitia mtandao hata kama serikali inabana magazeti na television
Hii inakuonyesha kwa nini Rais Magufuli amewahi kutoa kauli ya kutamani malaika washuke wafungie mitandao. Hata hivyo pamoja na kuleta sheria za mitandao na kujaribu kabana content zitolewazo mitandaoni bado wananchi wanaweza kupata access ya taarifa mbadala
Kwa hiyo CCM na serikali yake wasijidanganye kuwa wanaweza kubana Taarifa au kueneza propaganda kiasi kwamba wakaweza kuwadanaganya watanzania muda wote
Cha msingi ni kwamba Wapinzani waandae strategy na wawekeze katika internet na mitandao ya kijamii, itawasaidia sana kufikisha ajenda zao kwa umma
Kwa taarifa zaidi juu ya hali ya matumizi ya Internet nchini unaweza kuipata hapa:
List of mobile network operators in Tanzania - Wikipedia.
Tanzania internet users hit 23 million; 82 percent go online via phones: regulator