Wameshindwa nini kuwajaza na hapa jf?Huko youtube na facebook wamejaza jeshi la mtandaoni la vijana la kutukana na kukejeli wapinzani huku wakisifu sana ishu za Magufuli na serikali. Lengo ni kushape public opinion.
Hata hivyo waliowengi wenye kuipinga serikali hawathubutu kucomment huko kwa sababu ID zinakuwa wazi, watu wanaogopa usalama wao!
Inasemekana Lissu ataruhusu tena kupata watanzania kupata habari kwa wakati iwapo atashindaKwa mujibu wa Taarifa za TCRA ambazo zimenukuliwa katika mtandao maarufu wa Wikipaedia, idadi ya Watanzania wenye kumiliki vyombo vya mawasilaino kwa maana ya Simu ni milioni 43.5 kati ya wananchi milioni 53.8
Hii inamaanisha kuwa takriban asilimia 80.8 ya wananchi wanaweza kupashana habari na kuwasiliana kupitia simu.
Wakati huo huo Wananchi wenye kuaccess Internet ni milion 22.3 sawa na asilimia 41.4 ya wananchi wote
Kwa hiyo hii inamaanisha kuwa wananchi wanao uwezo wa kupata taarifa za ndani ya nchi na nje ya nchi kupitia mtandao hata kama serikali inabana magazeti na television
Hii inakuonyesha kwa nini Rais Magufuli amewahi kutoa kauli ya kutamani malaika washuke wafungie mitandao. Hata hivyo pamoja na kuleta sheria za mitandao na kujaribu kabana content zitolewazo mitandaoni bado wananchi wanaweza kupata access ya taarifa mbadala
Kwa hiyo CCM na serikali yake wasijidanganye kuwa wanaweza kubana Taarifa au kueneza propaganda kiasi kwamba wakaweza kuwadanaganya watanzania muda wote
Cha msingi ni kwamba Wapinzani waandae strategy na wawekeze katika internet na mitandao ya kijamii, itawasaidia sana kufikisha ajenda zao kwa umma
Kwa taarifa zaidi juu ya hali ya matumizi ya Internet nchini unaweza kuipata hapa:
List of mobile network operators in Tanzania - Wikipedia.
Tanzania internet users hit 23 million; 82 percent go online via phones: regulator
Una taarifa kwamba,huko Namtumbo mkoani Ruvuma vijana wa CDM walitaka kumkafini ndugu yenu aliyempora mgombea wa CDM fomu za udiwani akiwa ametumwa na mwenyekiti wenu wa UVCCM???Umeongea vyema. Lakini swali langu, kwanini kila siku mnayalilia magazeti, redio na televisheni hazitangazi habari zenu?
TUKUTANE OKTOBA 28!
Hapa JF wanakutana na watu wenye hidden ID's wanawajibu bila kuhofia kupotezwa ndiyo maana kila wakijaribu hapa JF wanafeli.Wameshindwa nini kuwajaza na hapa jf?
Then wataendeshaje shughuli za serikali ikiwemo makusanyo ya mapato mfano control number,Internet nayo itafungwa mpaka baaada ya uchaguzi
Tv- ni kuona na kusikiaHakuna chama cha upinzani ambacho kimejiandaa kuunda serikali coz kushinda uchaguzi vyama vya upinzani hasa kwa nchi za Africa ni mchakato mrefu na mipango ya muda mrefu kitu ambacho hakuna chama cha upinzani Tanzania wameshafanya hata robo nadhani wao wanagombania kuwa ni chama gani kitakuwa chama kikuu cha upinzani
"Wananchi wenye kuaccess Internet ni milion 22.3 sawa na asilimia 41.4 ya wananchi wote " Hahahaaaa ulishajiuliza Tanzania ni mambo gani au vitu gani vinafatiliwa au kugoogle sana kwenye Internet utashangaa sana nikwambie kitu watanzania hawafatilii siasa kwenye mitandao ni asilimia chache sana hata ukifanya utafiti utagundua ni Twitter tu ndo wanafatilia siasa but sehemu au mitandao mingine nadhani unajua nn kinafatiliwa sasa jiulize Twitter ni watanzania wangapi wana account huko??
Tanzania bado main stream media(TV,Magazeti,Radio) bado zinanguvu sana na bado zinafatiliwa na watu wengi kwa sababu kupata taarifa huko ni free au cheap kulinganisha na mitandaoni ambapo lazima uwe na bando kitu ambacho mtu wa mikoani hawezi kununua GB 4 eti kumuangalia Tundu Lissu akiutubia You tube nazungumzia nchi kwa ujumla si mijini tu CCM si wajinga kuwabana huko wanajua nini wanafanya hapa ungewashauri wafungue vyombo vyao vya habari kama Radio na TV ambazo watakuwa na mamlaka navyo hata kwa wenzetu ambapo Dunia imeamka bado TV ,Magazeti na Radio zina nafasi kubwa sana ktk Ulingo wa kupashana habari pia kwa mfumo uliopo ni mpumbavu pekee anayeweza kusema Lissu au upinzani utachukua nchi ktk miaka hiii 10 au 15 ijayo bado sana .
Haisaidii kitu tutatumia Bluetooth,flash,cd, VPN,pia hicho kitu cha kuzima internet hawawezi means watakusanyaje mapato kupitia control number, hawawezi media control Hawa wakuja.Mojawapo ya sifa za utawala usiokubalika na wengi (dikteta) ni kuminya vyombo vya habari.
Kwa hofu waliyo nayo CCM na Magufuli wao, sitashangaa wakiamrisha internet izimwe nchi nzima!
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza...
Nimeongea sana hili suala uliloandika hapa.Tanzania bado main stream media(TV,Magazeti,Radio) bado zinanguvu sana na bado zinafatiliwa na watu wengi kwa sababu kupata taarifa huko ni free au cheap kulinganisha na mitandaoni ambapo lazima uwe na bando kitu ambacho mtu wa mikoani hawezi kununua GB 4 eti kumuangalia Tundu Lissu akiutubia You tube nazungumzia nchi kwa ujumla si mijini tu CCM si wajinga kuwabana huko wanajua nini wanafanya hapa ungewashauri wafungue vyombo vyao vya habari kama Radio na TV ambazo watakuwa na mamlaka navyo hata kwa wenzetu ambapo Dunia imeamka bado TV ,Magazeti na Radio zina nafasi kubwa sana ktk Ulingo wa kupashana habari pia kwa mfumo uliopo ni mpumbavu pekee anayeweza kusema Lissu au upinzani utachukua nchi ktk miaka hiii 10 au 15 ijayo bado sana .
Why mpo bize kuuwa upinzani,plus sheria kandamizi kila siku.Hakuna chama cha upinzani ambacho kimejiandaa kuunda serikali coz kushinda uchaguzi vyama vya upinzani hasa kwa nchi za Africa ni mchakato mrefu na mipango ya muda mrefu kitu ambacho hakuna chama cha upinzani Tanzania wameshafanya hata robo nadhani wao wanagombania kuwa ni chama gani kitakuwa chama kikuu cha upinzani
"Wananchi wenye kuaccess Internet ni milion 22.3 sawa na asilimia 41.4 ya wananchi wote " Hahahaaaa ulishajiuliza Tanzania ni mambo gani au vitu gani vinafatiliwa au kugoogle sana kwenye Internet utashangaa sana nikwambie kitu watanzania hawafatilii siasa kwenye mitandao ni asilimia chache sana hata ukifanya utafiti utagundua ni Twitter tu ndo wanafatilia siasa but sehemu au mitandao mingine nadhani unajua nn kinafatiliwa sasa jiulize Twitter ni watanzania wangapi wana account huko??
Tanzania bado main stream media(TV,Magazeti,Radio) bado zinanguvu sana na bado zinafatiliwa na watu wengi kwa sababu kupata taarifa huko ni free au cheap kulinganisha na mitandaoni ambapo lazima uwe na bando kitu ambacho mtu wa mikoani hawezi kununua GB 4 eti kumuangalia Tundu Lissu akiutubia You tube nazungumzia nchi kwa ujumla si mijini tu CCM si wajinga kuwabana huko wanajua nini wanafanya hapa ungewashauri wafungue vyombo vyao vya habari kama Radio na TV ambazo watakuwa na mamlaka navyo hata kwa wenzetu ambapo Dunia imeamka bado TV ,Magazeti na Radio zina nafasi kubwa sana ktk Ulingo wa kupashana habari pia kwa mfumo uliopo ni mpumbavu pekee anayeweza kusema Lissu au upinzani utachukua nchi ktk miaka hiii 10 au 15 ijayo bado sana .
Mkuu unapozungumzia Ushindi wa uchaguzi si ushindi wa kubet au ushindi wa Yanga na Simba uchaguzi ushindi wake unaamua maslai mapana na muelekeo wa nchi ktk kipindi cha miaka 5 pia unatakiwa kujua kuna wakt Democrasia inaweza kuzuiwa nikupe mfano tu kuwa waandamanaji walipigwa tena mbele ya Ikulu ya Rais wa US ambae wote tunaamini ni Baba wa haki za binadamu na Democrasia unajua walipigiwa nini ?Why mpo bize kuuwa upinzani,plus sheria kandamizi kila siku.
Habari zitawafikia tu watu,sio kila mtz ana mawazo ya kijima,zitatumika hata tv za nje iwe live au recorded na sio lzm waje nchini watatumiwa habari watarusha je mtazuia na decoder zote, mtazuia Bluetooth,cd,flash nk.
Kuzuia habari Ni sawa na kuzuia upepo usisambae.
Hotuba yote ya Lisu ipo citizen Kenya vipi mtazuia na media za nje zisiripoti wakiwa kwao pasipolazimika waje nchini kuchukua habari,
Demokrasia Ina mipaka yake sio kila kitu ni huru lkn huwezi wanyima wengi haki kwa maaslai ya wachacheMkuu unapozungumzia Ushindi wa uchaguzi si ushindi wa kubet au ushindi wa Yanga na Simba uchaguzi ushindi wake unaamua maslai mapana na muelekeo wa nchi ktk kipindi cha miaka 5 pia unatakiwa kujua kuna wakt Democrasia inaweza kuzuiwa nikupe mfano tu kuwa waandamanaji walipigwa tena mbele ya Ikulu ya Rais wa US ambae wote tunaamini ni Baba wa haki za binadamu na Democrasia unajua walipigiwa nini ?
Wamepigwa kisa Donald Trump apate kupita kwenda kupiga Picha mbele ya kanisa huku ameshika bible