Zama zake zimepita. Jihadhari sana na kauli au maoni yako juu yake hapo kesho

Zama zake zimepita. Jihadhari sana na kauli au maoni yako juu yake hapo kesho

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Tuko zama za anaupiga mwingi na maridhiano. Hivyo ewe kiongozi mteuliwa kuwa mwangalifu utakapokuwa unatoa maoni kuhusu bwana yule hapo kesho, maana Zama zake zimepita na kitabu chake kimefungwa.

Maoni yako yakikolezwa Sana sifa itakula kwako. Kama ikiwezekana wakwepe Sana waamdishi wa habari hapo kesho.

Nimamaliza. Kwani mnanilipa?
 
Wasiturudishe Misri
Tuko zama za anaupiga mwingi na maridhiano. Hivyo ewe kiongozi mteuliwa kuwa mwangalifu utakapokuwa unatoa maoni kuhusu bwana yule hapo kesho, maana Zama zake zimepita na kitabu chake kimefungwa.

Maoni yako yakikolezwa Sana sifa itakula kwako. Kama ikiwezekana wakwepe Sana waamdishi wa habari hapo kesho.

Nimamaliza. Kwani mnanilipa?
 
Back
Top Bottom