Zamani haikuwa rahisi kupata division three; Kwanini sahivi imekuwa rahisi sana?

Zamani haikuwa rahisi kupata division three; Kwanini sahivi imekuwa rahisi sana?

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kusema ukweli kuna kitu hakipo sawa kwa sasa!

Miaka 20 iliyopita division 3 kuipata ilikuwa kipengele sana,

Hata waliopata walikuwa nauwezo flani hivi kiakili!

Sasa hivi siyo ajabu mtu ambae hata hajui what is biology anapata. Division 3,
Mtoto ambae hata simultaneously equation hajui lakini anapata division 3!
Mtoto ambae hata kuandika INSHA hajui lakini kapata Division 3,

Yaani nikitathimini wale waliokuwa wanapata zero zaman au four ya zamani sahivi ni sawa na division 2 na 3 ya sasa!

Nini kimebadilika?
 
Kusema ukweli kuna kitu hakipo sawa kwa sasa!

Miaka 20 iliyopita division 3 kuipata ilikuwa kipengele sana,

Hata waliopata walikuwa nauwezo flani hivi kiakili!

Sasa hivi siyo ajabu mtu ambae hata hajui what is biology anapata. Division 3,
Mtoto ambae hata simultaneously equation hajui lakini anapata division 3!
Mtoto ambae hata kuandika INSHA hajui lakini kapata Division 3,

Yaani sahivi siyo ajabu kitoto kijinga kijinga kuambiwa kimepata Division 3!

Sielewi Division ya zamani
Kama ulifeli ww waache watoto wafaulu
 
Umri pia zamani jitu lina miaka 18 bado liko shule ya msingi bichwa limezeeka .Maisha magumu nyumbani .Lishe duni.Hamna vyakula vya kujenga ubongo .
Mazingira ya kusomea duni
Kuna shida kwenye hii elimu haiwezekana mambo ya kama hivyo yaani mtu div 3 hajui vitu vingi vya mhimu anaipataje hiyo division?
 
Ilikuwa ngumu kuipata ila rahisi kupata kazi tena unachagua mwenyewe.

Sahivi rahisi kupata lakini utakuta haina maana yoyote.
Zamani kuipata three ilikua siyo masihara ..hata mtoto ukimuuliza unaona kabida mtoto anajua vitu! Lakini sahiv mtoto ng'ombe kabisa anatusua division 3
 
Siku izi mambo marahisi mkuu
Pia sources za learning, material na ufundishaji umekua maradufu ya miaka 20 iliopita
 
Back
Top Bottom