Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Swali zuri sana,nadhani vitu vingi vimebadilika sana ukilinganisha na zamani.
Kwanza siku hizi vitabu vimekuwa vingi sana na maarifa yameongezeka.
Enzi zetu tulikuwa na uhaba mkubwa wa waalimu.Hali ni tofauti sasa kuna waalimu wengi tena wengine hawana kazi.
Elimu ya msingi imeboreshwa sana tena EM zimekuwa nyingi si kama zamani zilikuwa chache sana.
Tuliosoma zamani utakuta tunategemea 100% notice za Mwl siku hizi Watoto wana vitabu na wana uwezo wa kufanya rejea kipitia vitabu mbalimbali.
Kwanza siku hizi vitabu vimekuwa vingi sana na maarifa yameongezeka.
Enzi zetu tulikuwa na uhaba mkubwa wa waalimu.Hali ni tofauti sasa kuna waalimu wengi tena wengine hawana kazi.
Elimu ya msingi imeboreshwa sana tena EM zimekuwa nyingi si kama zamani zilikuwa chache sana.
Tuliosoma zamani utakuta tunategemea 100% notice za Mwl siku hizi Watoto wana vitabu na wana uwezo wa kufanya rejea kipitia vitabu mbalimbali.