usilete ubishi watoto wanapata daraja la juu lakini hawajui kituKama ulifeli ww waache watoto wafaulu
Subiri waje wakupe ajira kipindi hiki ni utandawazi pambana ku reset Kama hautangukia kibuyuKusema ukweli kuna kitu hakipo sawa kwa sasa!
Miaka 20 iliyopita division 3 kuipata ilikuwa kipengele sana,
Hata waliopata walikuwa nauwezo flani hivi kiakili!
Sasa hivi siyo ajabu mtu ambae hata hajui what is biology anapata. Division 3,
Mtoto ambae hata simultaneously equation hajui lakini anapata division 3!
Mtoto ambae hata kuandika INSHA hajui lakini kapata Division 3,
Yaani nikitathimini wale waliokuwa wanapata zero zaman au four ya zamani sahivi ni sawa na division 2 na 3 ya sasa!
Nini kimebadilika?
Kaka yafaa pia ujue nani anakujibu,kama ni wa 2000 usitegemee jibu zuri,,sikuhizi siasa imeingizwa kwenye elimu pia,hakuna tena maswali fikirishi,lengo namba ya ufaulu iongezeke,shule zisifiwe kuwa zinafaulisha,hili ni janga tusichukulie poa,.ndio maana ubunifu haupo siku hizi,watoto hawaajiriki uko makazini,wanaishia kwenye uchawa!!!,,Nimeuliza kipi kimebadilika? Je wamebadilisha kipimio?
Vipimio vimebadilika sana, mfano;Nimeuliza kipi kimebadilika? Je wamebadilisha kipimio?
Kwamba resources zikiwa nyingi unafaulu lakini kichwani hujui kitu hata what is biology hujui, kuandika barua hujui, national flag hujuiNyie ndio wale Malecture Uchwara wanaojisifu kufelisha. Utasikia mimi mtihani wangu huwezi kupata 90.
Mbona haihitaji akili kubwa kutambua miaka ya resources za kujifunzia zmekua nyingi tofauti na miaka ya nyuma. Shule nyingi, vifaa vingi, walimu wengi nk.. Haikuwa hivi miaka ya nyuma.