Zamani kuchezea Yanga SC ilikuwa heshima na ufahari

Yanga ya miaka ya 1990'S hadi majuzi ndio ilikuwa bomba,mimi sijui tatizo la yanga kwa sasa hata kama hela hakuna inatakiwa viongozi wahamasishe wachezaji na kuwa wamoja kwenye shida na raha na matokeo mazuri yangeonekana.Tulikuwa tunaenda vizuri hadi katikati ya msimu ila alipoondoka kocha mambo yakaanza kuharibika kila siku.Sijawahi ona yanga inafungwa mechi nyingi hivi kama msimu huu. Nafikiri tunahitaji viongozi wapya haraka sana ili tujipange mapema kwa mashindano ya CAF yanayoendelea na msimu ujao wa ligi kuu.
 
Timu gani bora iliyo mkoani kwa mfano?


Ubora kwa uchezaji ziko nyingi kama vile Ndanda FC, Mbeya City, Mtibwa Sugar, Singida United.....si umeona uchezaji wao? Wako fiti kiuchezaji shinda Simba na Yanga.
 
="donbeny, post: 27320161, member: 164867"]Yanga ya miaka ya 1990'S hadi majuzi ndio ilikuwa bomba,mimi sijui tatizo la yanga kwa sasa hata kama hela hakuna inatakiwa viongozi wahamasishe wachezaji na kuwa wamoja kwenye shida na raha na matokeo mazuri yangeonekana.Tulikuwa tunaenda vizuri hadi katikati ya msimu ila alipoondoka kocha mambo yakaanza kuharibika kila siku.Sijawahi ona yanga inafungwa mechi nyingi hivi kama msimu huu. Nafikiri tunahitaji viongozi wapya haraka sana ili tujipange mapema kwa mashindano ya CAF yanayoendelea na msimu ujao wa ligi kuu.[/QUOTE]
Zamani Yanga ilikuwa inapambana hata nyakati ngumu.
 

Lazima uelewe kwamba si kila mara timu inatakiwa kujitoa muhanga ili ipate ushindi. Inashangaza kwamba hakuiona timu ilivyopambamna kwa muda mrefu ikiwa miongoni mwa timu mbili za juu. Inapofikia hatua ya kukosa nafasi ya kwanza ya ubingwa ilhali nafasi ya pili haina umuhimu tena na wala timu haiko hatarini kushuka Daraja, kuna haja gani ya kuwachosha wachezaji wachache wasio majeruhi kupigania ushindi, badala ya kuelekeza nguvu kwenye mashindano makubwa zaidi inayoendelea nayo? Mpenzi anayetumia hali hiyo kuanzisha zengwe lisilo la lazima klabuni hana tofauti ni kigwagula Akilimali kinachotumia kila changamoto inayoitokezea timu kutafuta kiki.
 
Yanayojiri huko Kenya ni ushahidi kwa niliyoyasema.
 
umeisahau Lipuli mkuu...
 
Kwa sasa ushindi inakuwa ngumu.. hakuna mtu wa kupaka Grease team pinzani.. hakuna mtu wa kupaka Grease marefarii.. lazima vyuma vibane . kwa sasa mpira ni uwanjani na watu woooote wanaona unachezwa live kabisa bila chenga.
 
Kwa sasa ushindi inakuwa ngumu.. hakuna mtu wa kupaka Grease team pinzani.. hakuna mtu wa kupaka Grease marefarii.. lazima vyuma vibane . kwa sasa mpira ni uwanjani na watu woooote wanaona unachezwa live kabisa bila chenga.
Na Mikia alicheza kihalali siku ile tu na Kagera Sugar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…