Zamani matajiri walitoa hela kwa masikini, sasa masikini wanawapa hela matajiri

Zamani matajiri walitoa hela kwa masikini, sasa masikini wanawapa hela matajiri

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Nyakati zimebadilika kwelikweli, zamani mtu masikini alithaminiwa sana na kuonwa mtu wa kupewa msaada lakini sasa hali ni tofauti nahisi ubepari umeptiliza.

Karne hii masikini anahenyeshwa kweli kweli siyo serikalini, kanisani wala msikitini matajiri wanazidi kutajirika masikini wanazidi kuwa masikini zaidi.

Ama kweli Masikini anatumia gharama na nguvu kubwa kufanya matajiri na mafisadi kuwa matajiri zaidi kwa kulipa kodi kubwa na kutumikishwa.

Ewe mwanachui amka kataa utumwa.
 
Nyakati zimebadilika kwelikweli, zamani mtu maskini alithaminiwa sana na kuonwa mtu wa kupewa msaada lakini sasa hali ni tofauti nahisi ubepari umeptiliza.

Karne hii maskini anahenyeshwa kweli kweli siyo serikalini , kanisani wala mskitini matajiri wanazidi kutajirika maskini wanazidi kuwa maskini zaidi.

Ama kweli Maskini anatumia gharama na nguvu kubwa kufanya matajiri na mafisadi kuwa matajiri zaidi kwa kulipa kodi kubwa na kutumikishwa.

Ewe mwanachui amka kataa utumwa.
Utumwa ni maamuzi ya Mtu binafsi unakubali kuwa Mwalimu unalipwa laki sita wakati boda anaingiza 50k per day
 
Back
Top Bottom