Zamani na sasa

Zamani hizo.

Ukipikwa Ubwabwa basi tabasamu tele uso mzima,

Ukirudi toka shule jioni unakuta mchele wapepetwa basi unakwenda kucheza soka mtaani huku ukiwa na furaha tele na energy ya kutosha unapiga vyenga sana ndani ya uwanja wengine wanakuita black maradona huku lakini kichwani unapicha kamili ya ubwabwa..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani magari yalikuwa mengi kuliko simu lakini siku hizi simu zinatakazidi idadi ya watu
 
zamani visimi vilikuwa vinakatwa sasa hivi havikatwi

zamani ulikuwa unaadhibiwa na mtu yeyote na mzazi wako haleti lomoni mingi sasa hivi mpige mtoto wa jirani hata kofi moja tuu majibu unayo

Zamani za juzi hizo sasa sijui mtoa mada unataka na zamani za kale??
 
dah kama ulikuwa unapata nguvu ya kwenda kucheza kabisa mkuu hiyo itakuwa zamani za juzi,

Hapo zamani za kale ukisikia tuu ni wali , utaoga mwenyewe, huondoki nyumbani , marafiki zako wakija kucheza unajidai unaumwa, Huondoki jikoni
 
zamani za kale hizo kwenye projekta 😂😂
 
Zamani watu tulilipa kodi ya kichwa na maisha yalikuwa nafuu ila siku hizi hatulipi kodi ya kichwa ila tunalipa kodi nyingine nyingi mpaka kodi ya pumzi.!

Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani miaka ya 67 walikuwa wanakuja warugaruga kukamata kodi ya kichwa. Watu waliwekwa jela kwa miezi mitatu kulipia halafu wanasubiri next year kukamatwa only for 5 shs. ambayo kuipata ilikuwa shida.

Kuna mwimbaji aliimba abana tanu tugambile kujenga, abana tanu tugambile kujengenchi, ta Nyerere ayatangile bitagyayo. ati amishoro mugirabye omumaduka ati abishaija byange mubileke binywe otwalwaaaaaaa. That =was in 67 to 70.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…