mwanawao
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 3,192
- 5,743
kwa masikitiko makubwa sana nimetokea kuanza kuwadharau sana watu wanaojiita Maprofesa na PhD's.
Hawa watu hawana tofauti na laymen wasiojua kusoma na kuandika. Inawezekana hata wakazidiwa uwezo wa kutambua mambo kwa mbali sana na wengi waliomaliza elimu ya darasa la saba!
Nimegundua kuwa makaratasi yanayoitwa vyeti vya Phd's ni bure kabisa!!
Hawa watu ni hovyo kuwekwa kwenye uongozi wa nchi!! Hovyo kabisa!!😢😢😢
Hawa watu hawana tofauti na laymen wasiojua kusoma na kuandika. Inawezekana hata wakazidiwa uwezo wa kutambua mambo kwa mbali sana na wengi waliomaliza elimu ya darasa la saba!
Nimegundua kuwa makaratasi yanayoitwa vyeti vya Phd's ni bure kabisa!!
Hawa watu ni hovyo kuwekwa kwenye uongozi wa nchi!! Hovyo kabisa!!😢😢😢