Andiko lako lipo GENERAL SANA. UNGEENDA KWENYE POINTkwa masikitiko makubwa sana nimetokea kuanza kuwadharau sana watu wanaojiita Maprofesa na PhD's.
Hawa watu hawana tofauti na laymen wasiojua kusoma na kuandika. Inawezekana hata wakazidiwa uwezo wa kutambua mambo kwa mbali sana na wengi waliomaliza elimu ya darasa la saba!
Nimegundua kuwa makaratasi yanayoitwa vyeti vya Phd's ni bure kabisa!!
Hawa watu ni hovyo kuwekwa kwenye uongozi wa nchi!! Hovyo kabisa!![emoji22][emoji22]
Hakuna cha general huo ndo ukweli mtupu,
Kuwa na akili nzuri ni kitu kimoja na kusoma hadi kuhitimu ngazi mbali mbali za elimu ni kingine.kwa masikitiko makubwa sana nimetokea kuanza kuwadharau sana watu wanaojiita Maprofesa na PhD's.
Hawa watu hawana tofauti na laymen wasiojua kusoma na kuandika. Inawezekana hata wakazidiwa uwezo wa kutambua mambo kwa mbali sana na wengi waliomaliza elimu ya darasa la saba!
Nimegundua kuwa makaratasi yanayoitwa vyeti vya Phd's ni bure kabisa!!
Hawa watu ni hovyo kuwekwa kwenye uongozi wa nchi!! Hovyo kabisa!!😢😢
Si kweli. Inatagemea na uelewa wako na hao maprof na madaktari njaa. Wapo madaktari na maprof wa kweli. Achana na hawa wanasiasa na wasomi uchwara. Wasomi wa kweli hufanya tafiti za kuisadia jamii na si kukilimbilia vyeo vya kisiasa ili kuiibia na kuiumiza jamii. Usikatishwe tamaa na akina Kabudi mabingwa wa kukariri lakini wasiojua kitu. Hawa ni makorofesa siyo maprofesa. Achana na hata wale wanaotumia udaktari wa heshima wakati hawana uwezo wa kuusotea. Nakuelewa kuwa umeongea kwa kukata tamaa na hasira.kwa masikitiko makubwa sana nimetokea kuanza kuwadharau sana watu wanaojiita Maprofesa na PhD's.
Hawa watu hawana tofauti na laymen wasiojua kusoma na kuandika. Inawezekana hata wakazidiwa uwezo wa kutambua mambo kwa mbali sana na wengi waliomaliza elimu ya darasa la saba!
Nimegundua kuwa makaratasi yanayoitwa vyeti vya Phd's ni bure kabisa!!
Hawa watu ni hovyo kuwekwa kwenye uongozi wa nchi!! Hovyo kabisa!!😢😢
kwa masikitiko makubwa sana nimetokea kuanza kuwadharau sana watu wanaojiita Maprofesa na PhD's.
Hawa watu hawana tofauti na laymen wasiojua kusoma na kuandika. Inawezekana hata wakazidiwa uwezo wa kutambua mambo kwa mbali sana na wengi waliomaliza elimu ya darasa la saba!
Nimegundua kuwa makaratasi yanayoitwa vyeti vya Phd's ni bure kabisa!!
Hawa watu ni hovyo kuwekwa kwenye uongozi wa nchi!! Hovyo kabisa!![emoji22][emoji22]
Ongeza kabundi na mbalawa na Samira dakitari wa kupewa kama KikwekweProfessorial rubish!!!!
Sasa hivi hawana tofauti na panyaroad wa vingungutikwa masikitiko makubwa sana nimetokea kuanza kuwadharau sana watu wanaojiita Maprofesa na PhD's.
Hawa watu hawana tofauti na laymen wasiojua kusoma na kuandika. Inawezekana hata wakazidiwa uwezo wa kutambua mambo kwa mbali sana na wengi waliomaliza elimu ya darasa la saba!
Nimegundua kuwa makaratasi yanayoitwa vyeti vya Phd's ni bure kabisa!!
Hawa watu ni hovyo kuwekwa kwenye uongozi wa nchi!! Hovyo kabisa!![emoji22][emoji22][emoji22]