mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hana adabu huyuUmezaliwa ukalelewa ukasomeshwa sasa unakuja kutukana hapa! Hivi hujui kuwa hii ni sawa na laana?
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana adabu huyuUmezaliwa ukalelewa ukasomeshwa sasa unakuja kutukana hapa! Hivi hujui kuwa hii ni sawa na laana?
Nadhani logic sio kuwapo kwa ardhi ya kurithishwa, kitu cha msingi ni wazazi kutokuwa tegemezi kwa watoto wao ilihali walikuwa na fursa ya kujiwekeza na wakaweza kumudu maisha yao angalau uhakika wa milo mitatu kwa siku na kumudu gharama za kawaida za maisha.Umeamdika general sana, bahati mbaya ni hadithi za kusikia. Hakuna data za kuthibitisha kuwa ajira zilikiwa nyingi kuliko wahitaji.
Ajira zenyewe zilikuwa na mshahara mkubwa kiasi gani ili mtu aweze kumudu maisha ? Ajira za vibarua ndio ajira za kumtoa mtu ?
Kiufupi ajira za sasa ni nyinngi kuliko zamani na ndio maana sasa mtu anaweza kujiajiri mda wowote akiamua. Sasa hivi kila kitu ni ajira hadi uchawa, kukata viuno, kutembea tu nayo ni ajira.
Ni kitu cha ajabu sana kuamini zama za giza kulikuwa na ajira nyingi kiliko zama za teknolojia.
Kila watu na zama zao, ishi zama zako, mbona mwewe hawarithishwi chochote ila wanaishi sembuse binadamu aliezungukwa na fursa kibao. Fursa zote zipo hata ardhi ipo. Kuna watu wazazi wao hawakumiliki ardhi kariakoo ila sasa hivi wana ardhi kariakoo., ukitaka hata london au newyork utamiliki ardhi ni akili yako tu, acha lawama. Rlob Musl jazaliwa Africa huku leo anamiliki ardhi USA wewe upo wapi ? Akili, Akili, Akili huu ndio urithi mkubwa kutoka kwa wazazi wetu.
Na wewe sahivi bado ardhi ipo nenda kakamateKizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.
Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.
Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.
Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
Mkuu,Kizazi cha miaka ya 1950 -1970 amabao ndo wazazi wetu walikuwa ni kizazi cha watu wazembe.
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kimekufa na ukimwi kwa kupenda Sana ngono.
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho kinatoa vitisho vya laana .
Kizazi hiki ndo kizazi ambacho hakina maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kiakili.
Kizazi hiki ndo kilishikilia dini na kusahau mila za babu zetu.
Kizazi hiki ndo kizazi cha laana starehe zote kilikuwa kinaendekeza wao.
Zamani ardhi kupata ni sawa na bure Ila unakuta mzazi hana ardhi anayomiliki.
Hata sasa bado ardhi ni ya kutosha sanaLicha ya kwamba wachangiaji wengi wamejaribu kukupinga lakini mada yako ina Ukweli mchungu Sana. Wakati wa miaka ya 1950-1980's Ardhi ilikuwa inapatikana kwa urahisi Sana hapa Tanzania, tena ilikuwepo ya kutosha Sana, lakini Watu wengi wa nyakati hizo hadi leo wengi wao hawana ardhi wanayomiliki.