Zamani wadada walikuwa wanatoroshwa sana

Zamani wadada walikuwa wanatoroshwa sana

Rion Jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
623
Reaction score
691
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya mungano wa Tanzania. Sakata la mtoto wa shule ya Pandahill leo limekumbusha miaka ya 2000’s kabla technology haijawa kubwa kulikuwa na matukio mengi sana ya wadada kutoroshwa na wanaume na kwenda kuanza maisha Kusiko julikana.

Waliowahi shudia hayo matukio njoo kwa jiran njoo utambie ilikuwaje ?
 
Sasa hivi wanaogopa majukum wanaume zamani hawakuogopa
 
Back
Top Bottom