Zamani wash basin ilikua ni karai na jug la maji

Zamani wash basin ilikua ni karai na jug la maji

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1626894399248.png
 
Fikiria hakukua na mabomba ndani, kabla hujalala unahakikisha una maji yako ya kunawa chumbani. Hata maisha waliyaachaa takriban miaka 100 iliyopita. Afrika bado tunayaishi.
Ni kweli kabisa sikuizi ni kuweka mafriji mpaka vyumbani kuvutishana magesi hovyo tuu wakati tulikuwa na mitungi yetu unawekwa kwenye kona moja maji baridii 🤣 🤣
 
Ni kweli kabisa sikuizi ni kuweka mafriji mpaka vyumbani kuvutishana magesi hovyo tuu wakati tulikuwa na mitungi yetu unawekwa kwenye kona moja maji baridii 🤣 🤣
Inaokoa muda pia, ule muda ambao ungetembea kutafuta maji unaweza kuutumia kumwagilia mchicha na nyanya
 
Back
Top Bottom