Ni kweli kabisa sikuizi ni kuweka mafriji mpaka vyumbani kuvutishana magesi hovyo tuu wakati tulikuwa na mitungi yetu unawekwa kwenye kona moja maji baridii 🤣 🤣Fikiria hakukua na mabomba ndani, kabla hujalala unahakikisha una maji yako ya kunawa chumbani. Hata maisha waliyaachaa takriban miaka 100 iliyopita. Afrika bado tunayaishi.
Inaokoa muda pia, ule muda ambao ungetembea kutafuta maji unaweza kuutumia kumwagilia mchicha na nyanyaNi kweli kabisa sikuizi ni kuweka mafriji mpaka vyumbani kuvutishana magesi hovyo tuu wakati tulikuwa na mitungi yetu unawekwa kwenye kona moja maji baridii 🤣 🤣
Kabisaa u digital unatupelekesha kwakweli hata kawa ya kufunikia chakula imemezwa na hot port.😳😳😳Inaokoa muda pia, ule muda ambao ungetembea kutafuta maji unaweza kuutumia kumwagilia mchicha na nyanya