comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Unapinga hakupata ZERO kisa tu aliajiriwa BOT? jiulize pia kwanini hayuko BOTAngepata 0 angeajiriwa BoT?
Ila huwezi kuelewa 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapinga hakupata ZERO kisa tu aliajiriwa BOT? jiulize pia kwanini hayuko BOTAngepata 0 angeajiriwa BoT?
Ila huwezi kuelewa 🐼
Mkuu toa ujinga wa katiba hapaHayo ni matokeo ya kuwa na katiba na sheria mbovu ambazo zinanufaisha kundi la watu wachache tu na kuwatelekeza wengi. Mapungufu makubwa yaliyopo ndiyo yenye kuchochea na hata kupelekea uwepo wa "gap" kubwa kati ya wenye nacho wale wasiokuwa nacho.
Wakati katiba yetu bado inazungumzia dhana ya sera za ujamaa na kujitegemea, kiuhalisia sera zetu ni za kibepari. Hapo ni lazima utarajie uwepo wa matabaka kati ya wale wachache ambao wanafaidi keki ya taifa na wengi ambao ni maskini wakutupwa pamoja na familia zao ambao wametengwa na kuonekana ni tabaka la chini, lenye laana, na pia ambalo halipaswi hata kula makombo ya wenye nacho.
Watanzania wanapaswa kuamka sasa hasa kundi kubwa la Gen Z. CCM imekuwa ni mzigo mzito na mateso makubwq kwa wananchi waliokuwa wengi. Muda wa kujiondoa kutoka katika nira na makucha yake ni sasa.
Academic azikuwepoo wwweSiku hizi Watoto wa Matajiri wako International School na hawa Watoto wa mama mboga wanasoma Kayumba school
Kwenye ushindani wa Ajira International School vs Kayumba school ni Sawa na Born Towns vs Bush Stars
Na mwisho kiuhalali kabisa Teuzi lazima ziwahusu Born Towns
Nawatakia Sabato Njema 😄😄
Na ww mwenye mawazo ya sabato njema tukuweke kundi gani?Siku hizi Watoto wa Matajiri wako International School na hawa Watoto wa mama mboga wanasoma Kayumba school
Kwenye ushindani wa Ajira International School vs Kayumba school ni Sawa na Born Towns vs Bush Stars
Na mwisho kiuhalali kabisa Teuzi lazima ziwahusu Born Towns
Nawatakia Sabato Njema 😄😄
Usalama kwa raia yeyote ni muhimu.Usalama Kwa familia za viongozi ni muhimu mkuu
Wewe ndio ujiulize kwanini alipotoka Jela alienda kuoga Ikulu?Unapinga hakupata ZERO kisa tu aliajiriwa BOT? jiulize pia kwanini hayuko BOT
Nimesoma na Salim ASAS Darasa Moja Dawati Moja shule ya Bakwata The Highlands 😂😂Uliwahi kusoma na mtoto wa Bakhresa au Dewji au mtoto wa Mengi? Hao uliowataja sio matajiri
Maskini mna tabu sana mpaka akili zimejaa umaskini.Mbowe kwani alisoma? Hivi kupata Div 0 ya Form 6 nae kasoma? Acheni kudharau elimu kiasi hiki, please. Mbowe alienda shuleni kusindikiza wengine ila hajasoma, hii muelewe vema.
International school wengi wao ni wafanya biashara na wala uwa hawana shobo na political vacancies.RSiku hizi Watoto wa Matajiri wako International School na hawa Watoto wa mama mboga wanasoma Kayumba school
Kwenye ushindani wa Ajira International School vs Kayumba school ni Sawa na Born Towns vs Bush Stars
Na mwisho kiuhalali kabisa Teuzi lazima ziwahusu Born Towns
Nawatakia Sabato Njema 😄😄
HIVI MBOWE NA UKOO WAKE WOTE WANA UTAJIRI GANI HAPA TANZANIA NA MALAWI WALIKOTOKEA?
Sahivi watoto wa wakubwa wanasoma nje pekeeBinafsi nilisoma Shule ya Msingi Mapambano karibu na Afrika Sana Sinza na mtoto wa IGP enzi hizo Solomon Liani!
You did not know this? Their origin is Malawi- Nyasaland- they came here as hawkers. The proof- Chaggas are everywhere, we have the masawe, Kimaro, Ndesamburo, Kiwia- NO MBOWE- this Mbowe only in one family the Mbowe FamilyIs Mbowe from Malawi?
sina namna ya kukusaidiaWewe ndio ujiulize kwanini alipotoka Jela alienda kuoga Ikulu?
Nyie uvccm ndio sababu Katambi anawachekaga sana 😂😂
Halafu anakwambia ameboresha elimuTafuta watoto Mwigulu kama utawaona Iramba Primary.....
Kwamba Tz kuna ugaidi?Usalama Kwa familia za viongozi ni muhimu mkuu
Mbowe ana degree kwanza hilo alijueAngepata 0 angeajiriwa BoT?
Ila huwezi kuelewa 🐼
Watoto wa Mkapa na JPM wote ni masikiniNi watoto wa Nyerere tu ndio walibaki maskini viongozi wengine wote waliobaki wamerithisha watoto wao vyeo na utajiri.