Zamani Watoto wa Matajiri na Masikini tulisoma Shule Moja mfano Mbowe na Ndugai, hii ilidumisha Uzalendo

Mkuu toa ujinga wa katiba hapa
 
Academic azikuwepoo wwwe
 
Na ww mwenye mawazo ya sabato njema tukuweke kundi gani?
 
Mbowe kwani alisoma? Hivi kupata Div 0 ya Form 6 nae kasoma? Acheni kudharau elimu kiasi hiki, please. Mbowe alienda shuleni kusindikiza wengine ila hajasoma, hii muelewe vema.
Maskini mna tabu sana mpaka akili zimejaa umaskini.

Mbowe anaongoza maprofesa na PhD holders achilia fukara kama wewe ambaye mkichanga pesa ukoo mzima hamfikii uchumi anaomiliki Mbowe.
 
International school wengi wao ni wafanya biashara na wala uwa hawana shobo na political vacancies.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ