Zamaradi acha kupotosha umma, filamu ya Corp's Enemy iliingizwa sokoni mwaka 2017 ikiwa imechezewa nchini Australia

Zamaradi acha kupotosha umma, filamu ya Corp's Enemy iliingizwa sokoni mwaka 2017 ikiwa imechezewa nchini Australia

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Kuna post leo inatembea Instagram na maelezo nusunusu, basi wanavyo ipaisha inaonekana kama Zamaradi ndo katengeneza filamu kali inayokuja kuleta mapinduzi.

Huyo mwandishi wa filamu hiyo myenyewe sijui ni mbongo aitwaye John Kay anaishi Australi na yeye kachangia maujinga kutujaza ujinga

Ukweli huu hapa;
Filamu inaitwa 'Cop's Enemy' iliingizwa rasmi sokoni mwaka 2017 ikichezwa Australia, Van Vicker akiwepo na Wema kipande kidogo

Leo Zamaradi anatoa anaeleza akijinadi inaenda Netflix, are you sure Zamaradi? I can't wait labda itafuata nyayo za 'Lion Heart' ya Genevieve

Sema tu ukweli sio filamu yako au ni kipindi kipya cha tamthilia kinaanza?

Huyo mwandishi mbongo na yeye kabadili kava ili kumuweka Aunt ezekiel na Wema waonekane kwenye kava wakati kava halisi hawakuwepo?

Swali ni kwamba hawa wadada walienda lini Australia kuigiza tusione mashauzi au ni vipande vimeungwa ungwa toka huku?

Filamu imdb ipo rated 6.7 ila walio 'i-rate' ni watu 11 tu bila shaka ni kikosi kilichotengeneza hiyo filamu wamejipa alama wenyewe

Kwa macho ya harakaharaka hii ni filamu nzuri ila kwa level za netflix bado sana, sawa huwezi ukalinganisha na za kibongo ila jamani acheni kugeuza watu wajinga. Instagram wanavyoshangilia eti Zama kaleta mabadiliko na Bwana Manara na yeye anaunga humohumo

Aibu kwenu, sipendagi kudanganywa mie

Hivi Zamaradi filamu inaweza kuwa imeingia sokoni kwenye kumbi za kuonesha filamu ikakaa miaka miwili, Netflix wakainunua?

So far West African movie iliyonunuliwa kwa Bilion 4 ni 'Lion Heart' ya Genevieve tu

facebook page yake hii hapa; https://web.facebook.com/Copsenemy/?_rdc=1&_rdr
imdb link: Cop's Enemy (2017) - IMDb

Original cover la 2017
1111.jpg


Cover linaloshangiliwa instagram leo, huhitaji kuwa na degree ya rocket science kujua limekaa ki amateur sana lengo ni kuwehusha watu.

Samahani Zamaradi kawadanganye wengine,, sio mimi

22222.PNG
 
bora ingekuwa copy and paste,ni movie ileile iliyotoka 2017 ,walichofanya ni kuongeza vipande vya wema na aunt ezekiel wakiongea kiswahili with english subtitles sasa anadanganya kwamba anaitoa upya by the way wenye movie kwenye imdb wanasema bajeti ni dollar milion 1 yeye anasema milion 200,NACHUKIA SANA KUDANGANYWA, I HATE IT
 
bora ingekuwa copy and paste,ni movie ileile iliyotoka 2017 ,walichofanya ni kuongeza vipande vya wema na aunt ezekiel wakiongea kiswahili with english subtitles sasa anadanganya kwamba anaitoa upya by the way wenye movie kwenye imdb wanasema bajeti ni dollar milion 1 yeye anasema milion 200,NACHUKIA SANA KUDANGANYWA, I HATE IT

Tatizo la wasanii wetu ni uongo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Capture55.PNG
HILO HAPO COVER 14 OCTOBER 2017(AUSTRALIA) MNAOPENDWA KUDANGANYWA ENDELEENI KUSHANGILIA KAMA HAMJAKUTA SCENES 2 ZA AUNT EZEKIEL NA WEMA,WANAJUA JAMII YA WATZ WENGI WAJINGA THATS WHY THEY TAKE ADVANTAGE OF US.SUBIRINI BASI HIYO REMAKE SIJUI REMIX YA ZAMARADI KUONEZEA SCENES ZA KINA AUNT EZEKIEL IKAMGHARIMU MILION 200
 
asa upongeze zama kwa kucopy kazi ya watu??

Sent using Jamii Forums mobile app
HAJA COPY ,WAMEONGEZEA SCENES ZA KINA AUNTIE EZEKIEL HAPA BONGO ,WAKAUNGANISHA KAMA NI MZIKI TUNGEITA REMIX,HUU UJINGA WAMESHIRIKIANA NA HUYO MWENYE MOVIE ANAITWA JOHN KAY,NINACHOCHUKIA NI YEYE KUDANGANYA KWAMBA NI KAZI YAKE,UKICHANGANYA HIVYO VIPANDE WALIVYOONGEZA KUWEKA KWENYE TIMELINE UPYA NA KU I EXPORT GHRAMA YAKE HAIZIDI HATA MILIONI 2..NACHUKIA SANA KUFANYWA MJINGA
 
Sasa si ndio kaongezea vionjo vya kina Wema na Aunty kwa 200m, tumpongeze jameni.
 
sikujua kama huiyu demu ni mwongo hivi aisee, embu angalia ana vyo break down hiyo millioni 200 ya imagination, zamaradi stop day dreaming we mwanamke,gharama za kuongeza clips za wema na auntie ezekiel hazizidi milioni 2, hiyo movie ni ya 2017 STOP LYING.
ndo maana umebaki nitaelezea nitaelezea ,ungekuwa umetoa milioni 200 tungekuona na mapicha ya location kibaoooo. au tutoe za kina van vicker wakiwa location hiyo 2017?
Capture.PNG
 
Sasa lengo la Zamaradi ni lipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
inavyoonekamna kashirikiana na huyo jamaa sijui mpopo anaitwa john kay huyo black ,waongze vipande upya vya kina wema waizindue cinema na kupiga hela tena hapa bongo probably na sponsorship juu. NI WIZI NA KUFANYANA WAJINGA, si useme tu tumefanya second release? ya nini kufanyana watoto?
 
HIVI WAANDISHI WETU WA HABARI KWENYE HIZI PRESS CONFERENCE HAMUENDAGI NA SMART PHONE?MTU AKIANZA KUONGEA MASUHUDU KAMA HAYO YA ZAMARADI UNA GOOGLE TU NA KUMPA MAKAVU HAPOHAPO,AU NDO MMECHUKUA BAHASHA ZA KHAKI BASI MNASHIRIKI KUSAMBAZA FAKE NEWS?
 
inavyoonekamna kashirikiana na huyo jamaa sijui mpopo anaitwa john kay huyo black ,waongze vipande upya vya kina wema waizindue cinema na kupiga hela tena hapa bongo probably na sponsorship juu. NI WIZI NA KUFANYANA WAJINGA, si useme tu tumefanya second release? ya nini kufanyana watoto?
Kuna ka ukweli fulani.mimi ni mmoja wapo niliepongeza humu if. Ila kama anaongopa anakosea aisee. Ila mwenyewe alisema baadhi ime ektiwa bongo.
 
Back
Top Bottom