Zamaradi acha kupotosha umma, filamu ya Corp's Enemy iliingizwa sokoni mwaka 2017 ikiwa imechezewa nchini Australia

Zamaradi acha kupotosha umma, filamu ya Corp's Enemy iliingizwa sokoni mwaka 2017 ikiwa imechezewa nchini Australia

HAJA COPY ,WAMEONGEZEA SCENES ZA KINA AUNTIE EZEKIEL HAPA BONGO ,WAKAUNGANISHA KAMA NI MZIKI TUNGEITA REMIX,HUU UJINGA WAMESHIRIKIANA NA HUYO MWENYE MOVIE ANAITWA JOHN KAY,NINACHOCHUKIA NI YEYE KUDANGANYA KWAMBA NI KAZI YAKE,UKICHANGANYA HIVYO VIPANDE WALIVYOONGEZA KUWEKA KWENYE TIMELINE UPYA NA KU I EXPORT GHRAMA YAKE HAIZIDI HATA MILIONI 2..NACHUKIA SANA KUFANYWA MJINGA
Mbona majina ya Aunty na Wema wapo kwenye orodha tangu awali? hebu fafanua hapo.
 
inavyoonekamna kashirikiana na huyo jamaa sijui mpopo anaitwa john kay huyo black ,waongze vipande upya vya kina wema waizindue cinema na kupiga hela tena hapa bongo probably na sponsorship juu. NI WIZI NA KUFANYANA WAJINGA, si useme tu tumefanya second release? ya nini kufanyana watoto?
Majina ya Aunty na Wema yapo kwenye orodha ya washiriki tangu awali? inamaanisha wapo ndani ya mpango.
 
View attachment 1013472HILO HAPO COVER 14 OCTOBER 2017(AUSTRALIA) MNAOPENDWA KUDANGANYWA ENDELEENI KUSHANGILIA KAMA HAMJAKUTA SCENES 2 ZA AUNT EZEKIEL NA WEMA,WANAJUA JAMII YA WATZ WENGI WAJINGA THATS WHY THEY TAKE ADVANTAGE OF US.SUBIRINI BASI HIYO REMAKE SIJUI REMIX YA ZAMARADI KUONEZEA SCENES ZA KINA AUNT EZEKIEL IKAMGHARIMU MILION 200
Hahaha hii cover mimi nilishaionaga kitambo Sana mbona ...duhh ndio maana nilijitoaga insta na ku-unstole app yao ... kwa sababu ya mambo kama haya hakijinga jinga na upuuzi " ....

Na hakika uamuzi wangu sikuwa nimekosea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mleta mada ana chuki zake na Zamaradi manake alichosema Zamaradi na alichowasilisha yeye hapa ni vitu viwili tofauti!
kawakilisha nini?uliwakilisha nini?ni franchise hii?watu wataona kiti tofauti na kilichoonekana 2017?ni kwa vipi hii kazi inaleta mapinduzi bongo?
 
kawakilisha nini?uliwakilisha nini?ni franchise hii?watu wataona kiti tofauti na kilichoonekana 2017?ni kwa vipi hii kazi inaleta mapinduzi bongo?
We jamaa acha ushamba wewe! Kuwa namultiple release dates haimaanishi ni filamu tofauti na ujuha wako huo!!! Kumbe ndo maana umenga'ng'ania suala la Franchise wakati nimesema wazi kwamba ni Star Wars- Last Jedi! Last Jedi ni ile ile; iwe imekuwa released Los Angeles, New York, London, Sydney or elsewhere lakini ingawaje ni ile ile, bado kunakuwa na multiple release dates ingawaje siku moja inaweza kuwa released kwenye mji/nchi zaidi ya moja!!!
 
bora ingekuwa copy and paste,ni movie ileile iliyotoka 2017 ,walichofanya ni kuongeza vipande vya wema na aunt ezekiel wakiongea kiswahili with english subtitles sasa anadanganya kwamba anaitoa upya by the way wenye movie kwenye imdb wanasema bajeti ni dollar milion 1 yeye anasema milion 200,NACHUKIA SANA KUDANGANYWA, I HATE IT
Hivi hawezi kushtakiwa huyu Zama kwa hii fix?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hawezi kushtakiwa huyu Zama kwa hii fix?

Sent using Jamii Forums mobile app
weeeeee, wafuasi milioni 3 instagram wanaomshangilia unadhani kitu kidogo?hapo subiri tu kuna sponsors wanaingizwa kibla,wine ya zamani inawekwa kwenye chupa mpya tutaambiwa ni kazi ya wabongo wameshirikiana na wa nje.nachukia sana uongo wa kitoto hivi
 
Back
Top Bottom