Mbona majina ya Aunty na Wema wapo kwenye orodha tangu awali? hebu fafanua hapo.HAJA COPY ,WAMEONGEZEA SCENES ZA KINA AUNTIE EZEKIEL HAPA BONGO ,WAKAUNGANISHA KAMA NI MZIKI TUNGEITA REMIX,HUU UJINGA WAMESHIRIKIANA NA HUYO MWENYE MOVIE ANAITWA JOHN KAY,NINACHOCHUKIA NI YEYE KUDANGANYA KWAMBA NI KAZI YAKE,UKICHANGANYA HIVYO VIPANDE WALIVYOONGEZA KUWEKA KWENYE TIMELINE UPYA NA KU I EXPORT GHRAMA YAKE HAIZIDI HATA MILIONI 2..NACHUKIA SANA KUFANYWA MJINGA
Majina ya Aunty na Wema yapo kwenye orodha ya washiriki tangu awali? inamaanisha wapo ndani ya mpango.inavyoonekamna kashirikiana na huyo jamaa sijui mpopo anaitwa john kay huyo black ,waongze vipande upya vya kina wema waizindue cinema na kupiga hela tena hapa bongo probably na sponsorship juu. NI WIZI NA KUFANYANA WAJINGA, si useme tu tumefanya second release? ya nini kufanyana watoto?
Hahaha hii cover mimi nilishaionaga kitambo Sana mbona ...duhh ndio maana nilijitoaga insta na ku-unstole app yao ... kwa sababu ya mambo kama haya hakijinga jinga na upuuzi " ....View attachment 1013472HILO HAPO COVER 14 OCTOBER 2017(AUSTRALIA) MNAOPENDWA KUDANGANYWA ENDELEENI KUSHANGILIA KAMA HAMJAKUTA SCENES 2 ZA AUNT EZEKIEL NA WEMA,WANAJUA JAMII YA WATZ WENGI WAJINGA THATS WHY THEY TAKE ADVANTAGE OF US.SUBIRINI BASI HIYO REMAKE SIJUI REMIX YA ZAMARADI KUONEZEA SCENES ZA KINA AUNT EZEKIEL IKAMGHARIMU MILION 200
Hahaha hii mpya ..kunakuaga na remix za movie kumbe.. ule mtindo wa part 1 ,part 2 haupo tena sio.
anapiga nyeupe?duhZamaradi tangia nilivyo jua, anatumia vitu vizito mithili ya Cocaine niliamua kuacha kumfuatilia kabisa, sijui umepata wapi time la kumfuatilia
uzinduzi wa hiyo movie 2017 huko australiaView attachment 1013527
Nimekupata Chupayamaji ukiangalia hii combination unaweza kugundua kikosi kipana na team bora katika production iliyopelekea kufanya REMIX ya filamu hi haijawi kutokea ni ya kwanza na kipekee. Kwako Chupayamaji
Huyo mleta mada ana chuki zake na Zamaradi manake alichosema Zamaradi na alichowasilisha yeye hapa ni vitu viwili tofauti!
kawakilisha nini?uliwakilisha nini?ni franchise hii?watu wataona kiti tofauti na kilichoonekana 2017?ni kwa vipi hii kazi inaleta mapinduzi bongo?Huyo mleta mada ana chuki zake na Zamaradi manake alichosema Zamaradi na alichowasilisha yeye hapa ni vitu viwili tofauti!
We jamaa acha ushamba wewe! Kuwa namultiple release dates haimaanishi ni filamu tofauti na ujuha wako huo!!! Kumbe ndo maana umenga'ng'ania suala la Franchise wakati nimesema wazi kwamba ni Star Wars- Last Jedi! Last Jedi ni ile ile; iwe imekuwa released Los Angeles, New York, London, Sydney or elsewhere lakini ingawaje ni ile ile, bado kunakuwa na multiple release dates ingawaje siku moja inaweza kuwa released kwenye mji/nchi zaidi ya moja!!!kawakilisha nini?uliwakilisha nini?ni franchise hii?watu wataona kiti tofauti na kilichoonekana 2017?ni kwa vipi hii kazi inaleta mapinduzi bongo?
Kama una bundle, msikilize hapa Zamaradi kisha linganisha na alichosema huyo jamaa!Zamaradi Aache uhuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hawezi kushtakiwa huyu Zama kwa hii fix?bora ingekuwa copy and paste,ni movie ileile iliyotoka 2017 ,walichofanya ni kuongeza vipande vya wema na aunt ezekiel wakiongea kiswahili with english subtitles sasa anadanganya kwamba anaitoa upya by the way wenye movie kwenye imdb wanasema bajeti ni dollar milion 1 yeye anasema milion 200,NACHUKIA SANA KUDANGANYWA, I HATE IT
Nimemuelewa Zamaradi vizuri kabisa!!Kama una bundle, msikilize hapa Zamaradi kisha linganisha na alichosema huyo jamaa!
weeeeee, wafuasi milioni 3 instagram wanaomshangilia unadhani kitu kidogo?hapo subiri tu kuna sponsors wanaingizwa kibla,wine ya zamani inawekwa kwenye chupa mpya tutaambiwa ni kazi ya wabongo wameshirikiana na wa nje.nachukia sana uongo wa kitoto hivi
Ni cocaine crack kumbe...ndo maana kembamba kama 1Zamaradi tangia nilivyo jua, anatumia vitu vizito mithili ya Cocaine niliamua kuacha kumfuatilia kabisa, sijui umepata wapi time la kumfuatilia