aisee umeadimika...Huyu mtusi atuachie nchi yetu. Ametuchukulia ruge wetu inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee umeadimika...Huyu mtusi atuachie nchi yetu. Ametuchukulia ruge wetu inatosha
aisee umeadimika...
Mama Kayaiii, come on, unaleta masihara eh wakati mwenzio nipo serious 100%... shauri yako! Stori sinunui coz' screenwriting ndio eneo langu la kujidai... hata hivyo, nikishaanza rasmi, am very certain kwamba lazima nitahitaji back up ya ukweli coz' my idea ni kufanya serial movie!! But all in all, kama kweli ni screenwriter, umewahi kujaribu ku-enter any well known screenwriting contest? You may not win lakini inaweza kuku-shape ile mbaya!! My assumption here ni kwamba unatumia industrial format...He he nipo busy na sikukuu... Nasubiri movie zako zianze niigize km mama kayaiiii .sjui bado unanunua story nikuuzie moja?
Poleni nyie mnaosikiliza hiyo clouds fm radio ya wafu. Bora kusikiliza E FM.
Mbaya zaidi mjadala uliopo hapa sio kuhusu Clouds lakini kwavile watu wanaiwaza Clouds kwa kila wanayopiga ndo maana haishangazi kuona watu wanaleta suala la Clouds hata pasipohusika!We ndo chizi kabisa... unaonekana umekalilishwa na wajinga wenzio. Yaani unataka kulinganisha BRAND na Radio Mbao?? Hahahahaha.
Mkuu dawa yenu, ondoa wasi wasi, i hope ipo siku mambo yatatengemaa!Mkuu chige maelezo yako yamenizamisha katika tafakari nzito, sasa nina wasi wasi. Huwa nakata tamaa niwasikilizapo vinara walioikamata hii tasnia ya filamu, maelezo yao huwa yanatosha kunihakikishia kuwa wamepwaya sana katika kile wakifanyacho. Tasnia imeshikwa na watu wa kariba ya aunt Ezekieli, Wema, Uwoya na wengineo! tutanatarajia nini kutoka kwa watu hawa?
Hao ndio tuwajuao na ndio tunaowasikia kila siku kupitia media mbali mbali. ajabu ni kwamba huku mtandaoni mpo akina chige ambao pasina shaka yoyote mnaonekana kuijua na kuielewa vizuri sanaa pamoja na makando kando yake yote. Mna kila kitu tunachokihitaji katika tasnia yetu hii ambayo kwa sasa ipo ICU.
Wasi wasi ni "JE MNAPATA NAFASI HUKO JIKONI?" Au mnachukuliwa tu kama wakuja mnaotaka kuchukua ulaji wa watu?
Nina hofu isijekuwa makanjanja wameimiliki sanaa hata kuwanyima nafasi ninyi mnaonekana mna tiba muafaka ya magonjwa kadha wa kadha yanayoisumbua tasnia yetu
We ndo chizi kabisa... unaonekana umekalilishwa na wajinga wenzio. Yaani unataka kulinganisha BRAND na Radio Mbao?? Hahahahaha.
Watuuzie tu hata 500 movie mbaya zinachefua
Nammiss Kanumba
Kama unataka niondoke sebuleni weka movie ya Bongolala
Huwa naona hata aibu kuona
Cc
MO11
hata 500 kubwa! wauze 250 ...........
Grand PA
Sikiliza ndugu yangu. , unaijua E FM kwanza wewe??? Sasa kwa taarifa yako hiyo ndio radio inayoongoza kusikilizwa kwa sasa hapa jijini dareslam. Sasa sijui wewe uko wapi.. Kama bado unasikiliza hao wavuta bangi na mashoga na wasagaji wa clouds fm utajua mwenyewe..