Zamaradi amewaza nini kumhoji Gigy Money?

Mi kaniacha hoi pale aliposema ilikuwa ampe Harmonize papuchi,wakaingia mpaka chumbani lkn akashindwa sbb alikuwa kwenye siku zake!Analala anaamka anakuta Harmonize na Wolper ndio habari,akaona "kiki" yake imepotea.

Anasema "Danga" lake moja liliwahi muhonga milioni tatu,na shopping ya nguvu...Sasa nikajiuliza unahonga malaya milioni tatu!?Yaani hiii hii papuchi kama ya Mama Satuui ndio naitolea milioni 3?Sijui inakuwa na king'amuzi ndani?

Anasema Mama yake ni kama yeye,yeye karithi kwa Mama yake,kwamba na Mama yake ni muuzaji,kuna siku alikuwa anadaiwa elfu 50 ikabidi aende akatafute danga akagawa mbunye akampa Mother hela.

Kwamba katembea na Ali Kiba na Abdu Kiba kwa pamoja?Tena anaongea hadharani kabisaa..Na kuwa Castro Dickson yule "Mwananchi wa Kawaida" amemla sana na hata leo akimtaka anampigia simu aje amle,sababu ye akimpenda mtu anamwambia.

Na kwamba yeye yupo kibiashara zaidi....anakaa nyumba ya laki nne kwa mwezi,na hawezi kukaa chini ya hapo sbb ye anajuwa atakuwa super star zaidi ya hapo hivyo lazima ajiandae na maish ya usupa star.Anasema Who is Wema Sepetu?Wema si lolote sbb wote wanakojoa huku wamechuchumaa
 
Mkuu una muda wa kupoteza ase,ila na mimi nimepoteza muda kusoma pia,,ha ha haaaaaa
 
Binafsi sina tatizo na Cloudz, ila Zamaradi sikuhizi anajishushia hadhi sana, aina ya watu anaowahoji lazima ushangae lengo lake hasa ni nini
Huyo ndo nasikiaga kazaa na bosi,anafanya analotaka
 
Zamaradi amekosea sana, tatizo sio kumuhoji Gigy-money tatizo ni vitu anavyomuhoji, maswali alivyoyaweka,nafikiri ilibidi aelezee kitu ambacho kitagusa waTz tuone the other side ya GigyMoney. .
 
Hivyo vitimbi na vituko vya clouds hua navikutaga humu,mnalazimishwa kuangalia hiyo tv uchwara?
Wewe kuna standards zinatakiwa zifuatwe katika utangazaji hasa mambo ya maadili kwa vipindi vinavyoonyeshwa prime time. Watoto hawajalala au wanafanya homework wanasikia Giggy alitaka kufanyana na Harmonize ikawa bahati mbaya yuko mwezini!!! Mtanzania wa kawaida anajifunza nini? Hata akina Kim Kada hawaongeagi stori zisizo na tija kama hizi! Ruge amkanye mkewe
 
Sasa pimbi nani hapa zamaradi? Mimi siangaliagi kipindi chako
 
Gigy money, clouds TV na kiumbe chochote kinachotetea wanachokifanya kwa ujumla wao ni Mashetani....
natamani kusema kitu kuhusiana na hili suala la gigy but I can't ....!!!
ngoja nione comments kwanza!
 
Jamani huyu anvyoongea nilivyomsikia ni yuko foolish age ,kama mnakumbukumbu hata lulu naye alikuwaga mawenge hivyo alihojiwaga sijui FNL kipindi kako 16 yrs hivi kakawa kanajibu vijibu vya kitoto
Mwacheni gigy akikua ataacha
tena nakumbuka alikua anamwaga uno weee ...sisahau yaani!
tofauti yao kua lulu ye sa hv anapata mapedesheee tu!wa nguvu!Ila hawana tofauti!
 
Inamaana alikua hajijui kama yuko period.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…