Zamaradi amewaza nini kumhoji Gigy Money?

Mkuu una muda wa kupoteza ase,ila na mimi nimepoteza muda kusoma pia,,ha ha haaaaaa
Ha ha ha ha mkuu lazima tuwe "multi-purpose",hii dunia lazima ujuwe habari za huku na kule ili isikuache!Mimi haya mambo nayaongelea tu humu,lkn nyumbani nakuwa mkali kidogo kwa watoto ili kuwaonyesha kuwa si mambo nayopendezwa nayo na si mazuri.

Kwa hiyo huwa "napoteza" muda kuyasoma na kufuatilia ili kuwa updated tu na mambo ya "kidunia"
 
Samahani Mkuu,naomba tofauti Kati ya Malaya na Kahaba! Plz.

Au Kahaba anagawa mpaka 0713? Huku Malaya akigawa mbele tu kwa lengo LA kujipatia Riziki?
 
pamoja na yote ila sauti ya gigy naipenda sana sipati picha ukiwa unamuelekeza njia afike "mt klm"
 
Achana na Giggy.Huyo ni kahaba namba moja Tanzania.
Sijawahi ona mwanamke akijisifia kutembea na wanaume kibao lkn hili li gigy mmmh limenishinda tabia harafu aonekana anapenda pesa tu kwa nay wa mitego kasanda
 
Samahani Mkuu,naomba tofauti Kati ya Malaya na Kahaba! Plz.

Au Kahaba anagawa mpaka 0713? Huku Malaya akigawa mbele tu kwa lengo LA kujipatia Riziki?
Umesema riziki [emoji88][emoji83] dah yale ya kipeku yamerejewa na kijungu mweku
 
exactly ....shida hii nchi sheria hazifuatwi
anamlazimisha huyu dada ataje wanaume wote aliotembea nao
as if ni sifa
nchi zingine angeshtakiwa na kipindi kupigwa faini
Shida ni kuwa huyo host anatoka na bosi wake ambae ni kiwembe(TOPAZ),anatamani kujua kama nae kampitia,ni ujinga.
Zamani radio yao wakati inaanza walikuwa wanaiita"EDU-ENTERTAINMENT"radio station,na falsafa hiyo nilisikia wameihamishia kwenye TV,sasa monitors wa maudhui ya matangazo yao hawaoni kuwa ipo kupromoti ushoga na umalaya?au ndiyo BURUDANI NA ELIMU YENYEWE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…