Ameshakuambia yeye naye ni yatima, unajuaje kama ana ndugu au wameisha? Sioni haja ya kupanic kwa hili, analolifanya ni jambo jema.Huyu anatafuta housegirl tu hana lolote aasili kwan ndugu zake wameisha wa kuwasaidia basi awachukue yatima kama atawaweza wotee
Huyu anatafuta housegirl tu hana lolote aasili kwan ndugu zake wameisha wa kuwasaidia basi awachukue yatima kama atawaweza wotee
Hivi kulea mtoto ni ngumu kiasi hicho? Ingekuwa maisha magumu yanamfanya mtu ashindwe kulea mtoto basi akina sie tusingefika umri huu
Why so negative?! Mbona ni jambo la kawaida
AHAhhaha ahaahah binamu nakupasua sasa ivi
Mimi ni mwanasaikolojia nimesema haweziiiu
Huyu dada ana moyo mzuri sana ,hongera kwa zamaradi kuaddapt mtoto.
Huyo zamarad si aje aniasili mm tu
Ushawahi kuishi naee??? Uwe unasoma unaelewaa bado hajaasili mtoto ptyeeeeeee
Namuona kwenye kipindi chake cha take 1 anaongea kwa upole sana.
Kwa hiyo kwenye kipindi chake awe mkali iwejeeee??? Halaf we ni bomu nishakuonaa
Ha ha ha bomu la nuclear au b56.zamaradi wanafanana upendo wao na wema sepetu(x miss tanzania).