Zamaradi huyo huyo... anaweza kuasili! Hata mm, kwenye uzima nitaasili tu, sema tatizo langu sipendi vurugu za watoto kwahiyo nitasubiri nizeeke zeeke kwanza.
Nataka kumuasili huyo zamaradi.....
Nilijua tu ni wewe hhhhaaa na mimi niasili tafadhaliiiii
Niasili mimi... mama angu keshazeeka hajiwezi!
amina dia
Searching?.....
for what?
Umesema huna hubby au?
nimesema, but i'm not searching!
Kuuliza si ujinga bali kutaka kujuwa tu maana mimi ni MBA
Mi naonaga mababu wote na wenyewe wanakuaga kama ma-kid hivi... hopeful na mimi n'takua ka' kid flani hivi kwahiyo itakuwa full domo wazi kufurahia!Hhaaa uzeekee si ndio watakusumbuaajee maana unakua babu
Jesus, moyo umefanya pah!Ntakuasili tulia tu ucheck mchezo
Umelia pah kwa ajil ya nn, maana mpaka mm umelia hvyo hvyo