Nakubaliana na wewe production ya clouds haivutii ukilinganisha na eatv na sioni kama wamejitahidi kuboresha nadhani jina linawabeba kidogoMashabiki wa Ruge bana. Kila mtu anafanya kwa sehemu yake. Cloud TV ni TV station poor poor kabisa. Kuanzia kwenye production mpaka kwenye setting ya environment. Angalia quality za Tv zingine.
Ajira za kitaanzania zisizo na sifa hizi, unapata kwa kumpa boss mwili wako. Ukiacha kumpa utamu boss na kazi inakwisha.Kwani imekuwaje clouds? I thought ni mahusiano tu yalikufa kazo ingeendelea♀️
We kwa nini unalitumia vibaya povu lako???? Afu we jamaa sijui ni gani yaani??? You are the hater of the highest order. Kwa kosa gani na kwa ubaya upi watu kumtangaza mtu wao. This is bussiness dude!! Guys are trying to keepin attracting attention for their innitiative.So What? Hivi angeenda BBC ingekuwaje? Tuacheni Umbwigira / Ushamba na ndiyo ' Sumu ' kubwa inayotutesa na kutumaliza Watanzania.
Mfuvu ni hatari kwa kweli hapo watakuwa wamepata kichwa...Na mafuvu dj
Halafu wewe kuna ushamba fulani bado haujakutoka!So What? Hivi angeenda BBC ingekuwaje? Tuacheni Umbwigira / Ushamba na ndiyo ' Sumu ' kubwa inayotutesa na kutumaliza Watanzania.
We kwa nini unalitumia vibaya povu lako???? Afu we jamaa sijui ni gani yaani??? You are the hater of the highest order. Kwa kosa gani na kwa ubaya upi watu kumtangaza mtu wao. This is bussiness dude!! Guys are trying to keepin attracting attention for their innitiative.
Nilitaka nikutusi ila ngoja nikuache tu.
Si kweli kama we ndo mmiliki wa kiwanda cha matusi na kwamba matusi yote unayajua wewe,.. ingekua hvo basi ungeweza kun'gamua matusi nilokuchapa nayo katika reply yangu. Any way tuyaache mkuuHivi utamtusi Mtu ambaye Kiwanda cha Matusi yote uyajuayo hapa duniani anakimiliki Yeye?
Nakupa like leo kwa mara ya kwanzaNimerudia tena kuisoma hiyo post ambayo jamaa alikuwa anatoa taarifa tu. Sijaona ushamba wala Umbwigira katika post hiyo. Hebu funguka zaidi ili watu wakuelewe labda kuna unayoyajua zaidi wengine hatuyajui.
Clouds ni radio station ndio wako vizuri lakini kwenye TV hawako vizuri kama eatvNakubaliana na wewe production ya clouds haivutii ukilinganisha na eatv na sioni kama wamejitahidi kuboresha nadhani jina linawabeba kidogo
Si kweli kama we ndo mmiliki wa kiwanda cha matusi na kwamba matusi yote unayajua wewe,.. ingekua hvo basi ungeweza kun'gamua matusi nilokuchapa nayo katika reply yangu. Any way tuyaache mkuu
Da Mange kasema Ruge ndio manager wa Diamond kwa miaka mingi tu, Babu Tale aliwekwa kama cover tu.Kwa mfano, kamfanyia dharau ipi huyo Ruge? Btw, huyo Ruge kamtoa Diamond wapi ikiwa hata THT alikataliwa?!
Alimnyanyasa vipi tena jamani acha mambo ya familia kuna mtu asiyemjua Ruge na Umalaya wake, acha bwana mimi mwanamke lakini Ruge hata miezi miwili siwezi kuishi naye. Please please sema mambo mengine lakini siyo kumtetea Ruge.Zamaradi asijivune leo watoto bado wadogo wakikua atajuta kuwazaa. Watamuuliza kwa nini ulimnyanyasa baba yetu. Time will tell..
Huku kukurupuka bila kuwaza kuna madhara yake mbele ya safari....
Kingereza kibovu.Smart people can be work together.
[emoji23][emoji23][emoji23] wabongo bwana!!.Kingereza kibovu.
Mtake radhi Legendary Tido Mhando, siyo hadhi yake hiyo media.Na waliodum hawakuwa na "presenter search"hope watakuwa na waendeshaji wazuri zaidi na wenye weledi ikibidi hata kutoka ughaibuni watakaoijua hii biashara au wamnunue Tido
Ni kweli boss,.........chale langu la kushoto limenambia kitu.Naona umeamua Kusalimu amri mwenyewe Kidiplomasia. Una bahati kweli kweli kwani nilijiandaa kukupa ' Kitu Dozi ' murua / mujarab / jadid / sahihi kabisa.