BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,666
- 1,053
Kama wanaweza wamchukuwe Dina M. Gerald
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama huyu deal done kwa sababu currently ni mtangazaji wa Dizzim online ambayo mmiliki wake ni Salaam SkNa SkyWalker(fredrick Bundala)
Kumbe Dizzim online ni ya Salaam Sk,,basi hapa wamepata bonge la mtangazajNaona kama huyu deal done kwa sababu currently ni mtangazaji wa Dizzim online ambayo mmiliki wake ni Salaam Sk
mjuaji sana huyu jamaa utafikir post zake za akiliNimerudia tena kuisoma hiyo post ambayo jamaa alikuwa anatoa taarifa tu. Sijaona ushamba wala Umbwigira katika post hiyo. Hebu funguka zaidi ili watu wakuelewe labda kuna unayoyajua zaidi wengine hatuyajui.
Kama mada inavyoonekana,aliyekuwa baby mama wa ruge mutahaba zamaradi mketema ajiunga rasmi na wasafi TV.
Au Fina MangoKama wanaweza wamchukuwe Dina M. Gerald
Wakimpata LyliOmmy watakuw wamelamba Dume ase
usupastar unamsumbua mmakonde hajazoea hivyo vituNa joto la dar hamo vipi
we jama mbona unakuwaga na chuki mbaya ? ao una undugu na shetani.So What? Hivi angeenda BBC ingekuwaje? Tuacheni Umbwigira / Ushamba na ndiyo ' Sumu ' kubwa inayotutesa na kutumaliza Watanzania.
Hv Dee Andy yupo wapi siku hz?Kuna dee Andy na king smash pia
Mmh maskin redio na tv za majizo kiki kwishney. Ila hakuna wa kuidondosha clouds
Mkuu likowapi tulione woteNaliona anguko la diamond
kavuta kitu cha Arusha huyo Diamond kwani anategemea fiestaMkuu likowapi tulione wote