Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Mambo ya kuuza nyumba kunnu gari afu anasifiwa mme
Mambo ya kuweka Bondi nyumba afu asifiwa mme
Weeeeeee
huyu kijana wa majaliwa, nadhani pm anatakiwa kumkalisha na kumwambia aache maisha ya ajabuajabu. kipindi kile amemtishia raia kwa bunduki na clip zipo hajafanywa kitu, sasahivi anatishia vijana tena na kuwaweka ndani, anaangaliwa tu. mbona watoto wa vigogo wengine wana akili sana? hivi huwa hawajifunzi kwa riziwani na watoto wa mwinyi? hivi pm huwa haoni huyu dogo anayoyafanya?
 
huyu kijana wa majaliwa, nadhani pm anatakiwa kumkalisha na kumwambia aache maisha ya ajabuajabu. kipindi kile amemtishia raia kwa bunduki na clip zipo hajafanywa kitu, sasahivi anatishia vijana tena na kuwaweka ndani, anaangaliwa tu. mbona watoto wa vigogo wengine wana akili sana? hivi huwa hawajifunzi kwa riziwani na watoto wa mwinyi? hivi pm huwa haoni huyu dogo anayoyafanya?
Riziwani mtoe, ana busara gan huyoo?
 
Kweli waliosema ishi maisha yako wanamana kubwa.Kuna mengi ambayo tunayaona ila hatujui undani wake
 
Nilifunga safari toka Mikocheni kwenda kuliona hilo bango , nilijihis wivu sana ila nikamuomba Mungu na mimi siku nimpate anayenipenda afanye hivyo

Ila nilipojua kuwa bwana ake mwenyewe hajui kuandika vizuri hata sina wivu tena zaidi namcheka Mketema kukapenda kale kajamaa kajinga kajinga

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Nadhani wapenda ubuyu kuna kitu wanakijua lakini wananong'ong'ona. Nini kinaendelea hapa?
Togwa limeingia nzi?
Beberu limekata kamba?
Kuna mtu kapigwa na kitu chenye ncha kali?
 
Nilifunga safari toka Mikocheni kwenda kuliona hilo bango , nilijihis wivu sana ila nikamuomba Mungu na mimi siku nimpate anayenipenda afanye hivyo

Ila nilipojua kuwa bwana ake mwenyewe hajui kuandika vizuri hata sina wivu tena zaidi namcheka Mketema kukapenda kale kajamaa kajinga kajinga

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
We jinsia gani?
 
Back
Top Bottom