Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
huyu kijana wa majaliwa, nadhani pm anatakiwa kumkalisha na kumwambia aache maisha ya ajabuajabu. kipindi kile amemtishia raia kwa bunduki na clip zipo hajafanywa kitu, sasahivi anatishia vijana tena na kuwaweka ndani, anaangaliwa tu. mbona watoto wa vigogo wengine wana akili sana? hivi huwa hawajifunzi kwa riziwani na watoto wa mwinyi? hivi pm huwa haoni huyu dogo anayoyafanya?Mambo ya kuuza nyumba kunnu gari afu anasifiwa mme
Mambo ya kuweka Bondi nyumba afu asifiwa mme
Weeeeeee
Ila Zama..ni kipengeleMambo ya kuuza nyumba kunnu gari afu anasifiwa mme
Mambo ya kuweka Bondi nyumba afu asifiwa mme
Weeeeeee
Riziwani mtoe, ana busara gan huyoo?huyu kijana wa majaliwa, nadhani pm anatakiwa kumkalisha na kumwambia aache maisha ya ajabuajabu. kipindi kile amemtishia raia kwa bunduki na clip zipo hajafanywa kitu, sasahivi anatishia vijana tena na kuwaweka ndani, anaangaliwa tu. mbona watoto wa vigogo wengine wana akili sana? hivi huwa hawajifunzi kwa riziwani na watoto wa mwinyi? hivi pm huwa haoni huyu dogo anayoyafanya?
Special case mjini Kuna watu badala ya kuwaonea wivu tuwaonee tu huruma
I see!Maisha ya sinema yalisha mgharimu sana Zamaradi, lakini naona haiishi kukoma bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mna maonoMaisha ya sinema yalisha mgharimu sana Zamaradi, lakini naona haiishi kukoma bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja..😊I see!
Ilikua ni rahisi kubashiri mkuu, na jaribu kuangalia wanaume "wenye pua kama ananusa harufu mbaya" kuna jambo utajifunza kuwahusu...😊Watu mna maono
We jinsia gani?Nilifunga safari toka Mikocheni kwenda kuliona hilo bango , nilijihis wivu sana ila nikamuomba Mungu na mimi siku nimpate anayenipenda afanye hivyo
Ila nilipojua kuwa bwana ake mwenyewe hajui kuandika vizuri hata sina wivu tena zaidi namcheka Mketema kukapenda kale kajamaa kajinga kajinga
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaa!!!We jinsia gani?