Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
Let's talk about issues and not "persons". This is what consists of "the home of great thinkers"
Mwisho wa siku huyu Zamradi ndio kaonekana mjinga kuliko wote kutokana na kutokwa povu mdomoni. Post zote hapo juu za Zamradi kazifuta Instagram which shows baada ya kutulia na hasira/wivu/uswahili kupungua akaona kabisa anaonekana mjinga. Anyway mjanja hapa Ruge maana ndie anaegombaniwa ila yeye mwenyewe kimyaa. I never understand wanawake kwa nini hugombana na wanawake wengine pale mwanaume wao anapo onekana kuwa msaliti. Kama mwanaume ulienae ni mhuni utagombana na wangapi?
Only mediocre minds will call PERSONS, ISSUES. Wait a minute, who is a celeb among the mentioned TWO? Obviously NONE and if any according to you then revise your understanding on Celebrities!!!!!Celebrities are persons,not issues. Kuna majukwaa mengine kule ya issues,kuna mambo mengi yanapaswa kujadiliwa,so usipoteze muda hapa.
Wewe unadhani hawajuhi...udaku wako bias kuna watu hawaandikwi ng'o....washikaji na wenye power kama kina Mengi hawaguswi hata wawe na kashfa gani...
Hongera Ray C kwa kutambua fursa ambayo ni Ruge,sasa naona somo la fursa linaeleweka.....
hahaaaa nicheke mie.......naona kila ka mkoa wanakotembelea na fiesta wanatoa fursa........
wakazi wa mikoani wawe makin tu.....
Ndo hivyo fursa izo zko wazi kabisa
ha haaa pacha umeniacha hoi etiii "mali ya umma"
Nimeamini hapendwi mtu....
Kaka yangu na miye hapo ana sura nzito; mfupi lakini watu wana fight
ha ha ha nashangaa, kama angekuwa anampenda si angejituliza. kama kaenda kwa ray c ataenda hata kwa wanawake wengine zama atagombana na wangapi
Ukiwa teja kwani mpaka papuchi inalewa????Aparamie wanaume kwani Ruge kamjua jana?
Ray c anamfahamu Ruge siku nying kipind hicho Zamaradi anavaa satini......atulie huyo Ruge ni mali ya Umma kama hajui bas ndo ajue!!!!!
leo nimekusalutia. Safi sana kwa kufananisha bila kukosea.Huyo Zama kama sholwe kibwenzi
Kwani Ruge alishapata virusi ?
Bwana mwenyewe wanayemgombania si ni mume wa mtu??tena bwana mwenyewe chupi mkononi, kizamaradi na kile kidomo kama kunguru vile