Zamaradi Mketema ni Mnafiki na Mchochezi Anaanzisha Ma Beef Kati ya Wasanii Kujipandisha Chati!

Zamaradi Mketema ni Mnafiki na Mchochezi Anaanzisha Ma Beef Kati ya Wasanii Kujipandisha Chati!

lara 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
15,700
Reaction score
29,164
Zamardi hakuna kitu kabisaaaaaaaaa! Anapenda kuwauliza watu maswali ya kuchonoa wenzao ili waropoke afu anawaita waliotuhumiwa waropoke nao! Afu roho yake ndo inarizika. Juzi juzi kaleta beef kati ya Sintah na Shilole kwenye ishu ya kipuuzi!

Kipindi chake ushambenga shambenga hakuna hata kinachochangia kwenye jamii! GO BACK TO SCHOOL ZAMA TO LEARN JOURNALISM ETHICS AND VALUES!!!!!!!!!!

Juzi kawapambanisha SINTAH na SHILOLE kwa ishu ya upuuzi! Media zitumike kwa mbambo ya msingi!
 
alianza kwa Wema na Wolper mpaka yakaibuka ya Jokate na Diamond alafu kama hausiki vile anavyojiweka pembeni!!
 
na tabia hii ilomgombanisha na Ray.alaf ndio style yake.
 
alianza kwa Wema na Wolper mpaka yakaibuka ya Jokate na Diamond alafu kama hausiki vile anavyojiweka pembeni!!

alaf hawa nao kwanini wanakubali kuchonganishwa
 
daa sijui anapata faida gani wenzie wa kigombana kama si ujinga wa kijinga
 
Sijui hawajamjua ndo maana wanakubal kugombanishwa?????
 
Na sura yake ilivyo sasa,siipendi clouds na watangazaji wote
 
Zamardi hakuna kitu kabisaaaaaaaaa! Anapenda kuwauliza watu maswali ya kuchonoa wenzao ili waropoke afu anawaita waliotuhumiwa waropoke nao! Afu roho yake ndo inarizika. Juzi juzi kaleta beef kati ya Sintah na Shilole kwenye ishu ya kipuuzi!

Kipindi chake ushambenga shambenga hakuna hata kinachochangia kwenye jamii! GO BACK TO SCHOOL ZAMA TO LEARN JOURNALISM ETHICS AND VALUES!!!!!!!!!!

Juzi kawapambanisha SINTAH na SHILOLE kwa ishu ya upuuzi! Media zitumike kwa mbambo ya msingi!

Uhuru wa media, si unatune tv inhine tu kwani mda wote uko kwa clouds tv? Udaku ndio unapendwa sana na watz wengi. Bussiness inaangalia need of customers
 
Zamardi hakuna kitu kabisaaaaaaaaa! Anapenda kuwauliza watu maswali ya kuchonoa wenzao ili waropoke afu anawaita waliotuhumiwa waropoke nao! Afu roho yake ndo inarizika. Juzi juzi kaleta beef kati ya Sintah na Shilole kwenye ishu ya kipuuzi!

Kipindi chake ushambenga shambenga hakuna hata kinachochangia kwenye jamii! GO BACK TO SCHOOL ZAMA TO LEARN JOURNALISM ETHICS AND VALUES!!!!!!!!!!

Juzi kawapambanisha SINTAH na SHILOLE kwa ishu ya upuuzi! Media zitumike kwa mbambo ya msingi!

Wenyewe wasanii wanapenda kugombanishwa ili wapate coverage ya vyombo vya habari so anachofanya kina faida kwa kipindi chake kwa kupata mashabiki na wadhamini na kina faida kwa wasanii pia kwa kuwafanya waendelee kumiliki headlines, kwa kifupi zamaradi na wasanii wake wanajuana
 
Kipindi kuhusu gossips and rumors mlitegemea kifanyeje?

Asietaka, asiende kuhojiwa nae
 
Wenyewe wasanii wanapenda kugombanishwa ili wapate coverage ya vyombo vya habari so anachofanya kina faida kwa kipindi chake kwa kupata mashabiki na wadhamini na kina faida kwa wasanii pia kwa kuwafanya waendelee kumiliki headlines, kwa kifupi zamaradi na wasanii wake wanajuana

Mbona Salama anawapa airtime ya kutosha kabisaa ila haleti ugomvi wowote na kipindi chake kina heshima yake mpaka politicians wanaenda! Ila Zama hamna kitu! Beef maybe ilitakiwa iwe strategy ya kumtoa ila kuikomalia ni KUKOSA UBUNIFU!
 
wasanii wenyewe qanapenda mambo hayo ili wapande chati
 
Mbona Salama anawapa airtime ya kutosha kabisaa ila haleti ugomvi wowote na kipindi chake kina heshima yake mpaka politicians wanaenda! Ila Zama hamna kitu! Beef maybe ilitakiwa iwe strategy ya kumtoa ila kuikomalia ni KUKOSA UBUNIFU!

zamaradi ni mtangazaji asiyefikiri kila anacho kifanya maana baada ya kukuza tasnia yeye anakuza beef sijui hili apate faida gani,ni mvivu wa kufikiri pekee anayeweza kuruhusu tv station yake kutumika kutukanana na kukashifiana. na alivyo mvivu wa kufikiri anawapa airtime watukanane
Cha kushangaza zaidi yeye ndiye anasababisha warushiane maneno badala ya kuwasuluhisha.

Wasanii nao wanashindwa kujua kuwa wanagombanishwa.
 
Back
Top Bottom