Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,805
- 599
Jamani daDA lara1 HAPO kidogo napingana na wewe,why....ni kwamba ZAMA akisikia hao wasanii wamerushiana vijembe huko kwingine iwe kwenye magazeti ama mtaai ndo nae anawaita ili kuwasikia live kwamba kulikoni....halafu mbona kawaida sana hata mambele mambo hayo yapo na ndo yanayopendwaa na rik la kazi halafu ndo business!....
my take!kwa asiyeipenda Clouds narudia tena kwa mara ya 50 usitune tu sikiliza wapo radio au tumaini why bothering?
Mo nampenda venye alivo... Nimemjua toka tukiwa tunafanya audition za c2c that time mwaka 2007... Kipindi chake ni kizuri na io ndo strategy yake.. So shut the ---- up... Kuna tatizo kwani????? Hakuna aliyekulazimisha kutizama take one..
mi ndo baba mtoto.......anamdanganya tuu rughesasa acipofanya vile bosi anavyotaka na boci ndo baba mtoto itakuwaje?
Jamani daDA lara1 HAPO kidogo napingana na wewe,why....ni kwamba ZAMA akisikia hao wasanii wamerushiana vijembe huko kwingine iwe kwenye magazeti ama mtaai ndo nae anawaita ili kuwasikia live kwamba kulikoni....halafu mbona kawaida sana hata mambele mambo hayo yapo na ndo yanayopendwaa na rik la kazi halafu ndo business!....
my take!kwa asiyeipenda Clouds narudia tena kwa mara ya 50 usitune tu sikiliza wapo radio au tumaini why bothering?
Afu nimegundua clouds in wasikilizaji wengi sana Tz...including wasioipenda.
Mimi si tune redio nyingine ni Clouds mwanzo mwisho,
Napenda aina ya utangazaji wao...hawako serious ki vile...ni kama chit chat.
Asubuhi nawasikiliza kina Gerald,...jioni nasikiliza amplify na michezo, hasa yule jamaa anaeyjiita Mbwiga...
Nadhani hata hao wanao discuss negatively wanaipenda maana wana tune in....mbona hawaongelei redio Imam sijuhi...mimi