Anakaribia kujifunguaInawezekana amepata sehemu nzuri zaidi ya hapo na kula maslahi...
Jana (280212) nilishuhudia mtangazaji bora wa kike 2011 Zamaradi Mketema akisema kipindi chake maarufu hakitakuwa hewani (mwisho wake) akiwa anamhoji Kanumba......nilisubiria kwa hamu nione atasema sababu gani lakini akaishia kwa kuaga.........
.......ama badu niliona kama ana kiashiria fulani hivi....je yawezekana ndio sababu za kipindi kutokuwa hewani???? Ina maana hakufanya mentorship kwa subdornate/coalegue wake?
...........nawaachia maswali wanajamvi
UNAMAANISHA NINI HAPO KWENYE RED?? mie simo si unakumbuka ule wimbo wa Manungayembe???ahsante kutujuza unanekana ndio ww muhusika maana una data hadi za siku, tarehe na saananakaribia timia kuwa mwanamke sasa, by may au june hivi atarud hewan tena......................all the best zamaradi
Nadhani uko sahihi...nani anakula mzigo huu...sijasikia ndoa..sio Ridh1 kweli???
Achana na Huyo dogo Ridh1, hata wewe akikuona tu...umekwisha na hivi ulivyo....yaani huhitataji UDADAVUZI......ni katika ku bett tu....