Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Safi???Ha haaa safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi???Ha haaa safi sana
Ndio mkuuSafi???
DemiHa haaa safi sana
Za siku mingi my dada
Nzuri sana my kakaZa siku mingi my dada
Yaani mke anajenga mume wake hajui?!!Tabia mbovu ipi? Mume kumwambia mke kapata kimada ni tabia njema?
Watajua wenyewe ila hapo mke katisha sana
Stori nzur na inachekesha ila kuna jambo linafikirishaMwanaume mmoja raia wa Zambia aliyetambulika kwa jina la Martin Stampa, anadaiwa kuanguka na kuzirai baada ya kugundua kuwa mke wake ndiye “mwenye nyumba” wake.
Kulingana na taarifa za mitandao ya kijamii nchini humo, imesema, Stampa (37), aliishi katika nyumba hiyo kwa miaka 15, na alikuwa akilipa kwacha 3500 kila mwezi ambazo mkewe alidai kuzipeleka kwa mwenye nyumba wao.
Hata hivyo, inadaiwa kuwa ugomvi ulizuka baada ya bibi huyo aliyetambulika kwa jina la Lombo Lushomo (27), kugundua kuwa mumewe alikuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa.
Mitandao hiyo, inaarifu kuwa Martin Stampa alimwambia mke wake kuwa alipata kimada kwa sababu alitaka mtu mwenye akili na anayejihusisha na mazungumzo mahiri ikiwemo kujituma katika utafutaji.
Inadaiwa kuwa, jambo hilo lilimkasirisha Bi. Lushomo, ambaye alimtaka kuhama na kumpisha na kumwambia kuwa hana akili za kutosha kwani amekuwa akimlipa kodi ya kila mwezi kwa sababu nyumba wanayoishi ni yake.
Mara baada ya kuoneshwa hati, ya nyumba hiyo, inasemekana Martin alipoteza fahamu na kuzimia kitu ambacho kilisababisha Wananchi kumpa msaada wa kumwagia maji ili kumzindua kisha kumuwahisha Hospitalini.
Asee huyo mdada safi sana....unamwambia mke wako hana akili? Wanaume wajinga sana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji122]Ha haaa safi sana
Falaa kabisaKwahiyo hapo ndezi ni jamaa
Alisoma alama za nyakati akajua ipo siku kuna janga litamfika 😃Yaani mke anajenga mume wake hajui?!!
Kama ni kwenye kupigana,mke alitumia style ya kukaba shingo badala ya kurushiana ngumi[emoji3][emoji3][emoji3]
Kweli vita havina muda wa makubaliano,tuishi kwa kujihami 😀😀Alisoma alama za nyakati akajua ipo siku kuna janga litamfika 😃
Wapo mkuu ipo hivi mwanamke huwa anakuwa na mpenzi muuza bucha,muuza duka,muuza,maji,muuzagenge, na muuza mkaa mmoja kwahiyo ukimpa alfu kumi ataenda kwa muuza genge antampiga nyanya😂😂 ataenda kwa muuza duka antampiga wese😉😉ataenda kwa muuza bucha antampiga utumbo na tusteki😂😂ataenda kwa muuza mkaa antampiga mkaa wa 1000 Kisha Ana malizia kwa muuza maji pale anachukua ndio kadhaaa bure unapo Rudi unakuta menyu imekamilika 😂😂😂😂 hapo Ile 10000 ataipeleka kwenye mchango kwa mama said na mchango huji kuu ona anaenda kujengea kwao na akimariza ujenzi ana lianzisha umpige ukimpiga anampa uroda barozi Kisha polisi baada ya hapo barozi anakuwa shahidi kwamba ulitaka kumpiga kisu amemuokoa yeye unakula miaka yako mitano jera yeye anauzanyumba anatafta Serengeti boy anakulanae Bata mpaka baasi wewe unachezea mijeredi jera"""😉😉😉😉Hahahaaa wanawake wenye akili hii wakiwepo bongo wajuba tutanyooka wallah 😂😂
aise inatisha hii jamani sasa tufanyeje broWapo mkuu ipo hivi mwanamke huwa anakuwa na mpenzi muuza bucha,muuza duka,muuza,maji,muuzagenge, na muuza mkaa mmoja kwahiyo ukimpa alfu kumi ataenda kwa muuza genge antampiga nyanya😂😂 ataenda kwa muuza duka antampiga wese😉😉ataenda kwa muuza bucha antampiga utumbo na tusteki😂😂ataenda kwa muuza mkaa antampiga mkaa wa 1000 Kisha Ana malizia kwa muuza maji pale anachukua ndio kadhaaa bure unapo Rudi unakuta menyu imekamilika 😂😂😂😂 hapo Ile 10000 ataipeleka kwenye mchango kwa mama said na mchango huji kuu ona anaenda kujengea kwao na akimariza ujenzi ana lianzisha umpige ukimpiga anampa uroda barozi Kisha polisi baada ya hapo barozi anakuwa shahidi kwamba ulitaka kumpiga kisu amemuokoa yeye unakula miaka yako mitano jera yeye anauzanyumba anatafta Serengeti boy anakulanae Bata mpaka baasi wewe unachezea mijeredi jera"""😉😉😉😉
My sister naona una furaha sana leo.Ila huyu jamaa namlaumu angekuwa mpole tu kauli yake mbovu imemponza kuwa ana akili sana kumbe ni fala flani tu.Ha haaa safi sana
☹☹ tumepigwa niCHAISijaendelea kuisoma hii tamthilia.
Mtu amekaa kwenye nyumba miaka 15.
Mke ana miaka 27. 27toa 15 ni 12.
Sasa Jamaa ana miaka 37, 37 toa 15 ni 22.
Kwa hiyo jamaa alioa mtoto wa miaka 12 na yeye 22, na wakakaa humo miaka 15!
Ngumu kumesa!!
Wanawake ni viumbe hatari sana aiseeWapo mkuu ipo hivi mwanamke huwa anakuwa na mpenzi muuza bucha,muuza duka,muuza,maji,muuzagenge, na muuza mkaa mmoja kwahiyo ukimpa alfu kumi ataenda kwa muuza genge antampiga nyanya😂😂 ataenda kwa muuza duka antampiga wese😉😉ataenda kwa muuza bucha antampiga utumbo na tusteki😂😂ataenda kwa muuza mkaa antampiga mkaa wa 1000 Kisha Ana malizia kwa muuza maji pale anachukua ndio kadhaaa bure unapo Rudi unakuta menyu imekamilika 😂😂😂😂 hapo Ile 10000 ataipeleka kwenye mchango kwa mama said na mchango huji kuu ona anaenda kujengea kwao na akimariza ujenzi ana lianzisha umpige ukimpiga anampa uroda barozi Kisha polisi baada ya hapo barozi anakuwa shahidi kwamba ulitaka kumpiga kisu amemuokoa yeye unakula miaka yako mitano jera yeye anauzanyumba anatafta Serengeti boy anakulanae Bata mpaka baasi wewe unachezea mijeredi jera"""😉😉😉😉
Tungo tata [emoji856][emoji856][emoji849][emoji849] miaka inapingana 27y to 15y!!!Mwanaume mmoja raia wa Zambia aliyetambulika kwa jina la Martin Stampa, anadaiwa kuanguka na kuzirai baada ya kugundua kuwa mke wake ndiye “mwenye nyumba” wake.
Kulingana na taarifa za mitandao ya kijamii nchini humo, imesema, Stampa (37), aliishi katika nyumba hiyo kwa miaka 15, na alikuwa akilipa kwacha 3500 kila mwezi ambazo mkewe alidai kuzipeleka kwa mwenye nyumba wao.
Hata hivyo, inadaiwa kuwa ugomvi ulizuka baada ya bibi huyo aliyetambulika kwa jina la Lombo Lushomo (27), kugundua kuwa mumewe alikuwa na uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa.
Mitandao hiyo, inaarifu kuwa Martin Stampa alimwambia mke wake kuwa alipata kimada kwa sababu alitaka mtu mwenye akili na anayejihusisha na mazungumzo mahiri ikiwemo kujituma katika utafutaji.
Inadaiwa kuwa, jambo hilo lilimkasirisha Bi. Lushomo, ambaye alimtaka kuhama na kumpisha na kumwambia kuwa hana akili za kutosha kwani amekuwa akimlipa kodi ya kila mwezi kwa sababu nyumba wanayoishi ni yake.
Mara baada ya kuoneshwa hati, ya nyumba hiyo, inasemekana Martin alipoteza fahamu na kuzimia kitu ambacho kilisababisha Wananchi kumpa msaada wa kumwagia maji ili kumzindua kisha kumuwahisha Hospitalini.