Hii taarifa ya umri sijui mleta mada kaitoa wapi?!! Kwenye mitandao ya Facebook au YouTube na kwingineko hakuna walipo taja umri wa mwanamkeTungo tata [emoji856][emoji856][emoji849][emoji849] miaka inapingana 27y to 15y!!!
Daah nashindwa hata nikujibu Nini ndugu yangu nisije kukufuruaise inatisha hii jamani sasa tufanyeje bro
π€π€π€π€π€aise inatisha hii jamani sasa tufanyeje bro
Weka mbali nawatotoWanawake ni viumbe hatari sana aisee
Ni kweli..tatizo kauliπMy sister naona una furaha sana leo.Ila huyu jamaa namlaumu angekuwa mpole tu kauli yake mbovu imemponza kuwa ana akili sana kumbe ni fala flani tu.
Tukija kwenye nyumba inawezekana.Hukusoma pia umri wa mwanamke?
maana hapa kaandikwa ana miaka 27, na kaishi kwenye ndoa miaka 15.
Je aliolewa akiwa na miaka 12? (yaweza kuwa sahihi)
lakini Je, hio nyumba aliijenga akiwa na hio miaka 12?
SIO CHAI nimeitolea DAR24 hata waandishi wanakoseaga kuchapa mfano gazeti la mwananchi wewe limesome kwenye mtandao utaona kuna wakati wanakosea.Ila hata kama ni chai message sent wanaume tupate fundisho hata wanajeshi wakifanya mazoezi hawapigani risasi za motoβΉβΉ tumepigwa niCHAI
kija kwenye nyumba inawezekana.
Labda alijengewa na wazazi wake.
Au labda alirithishwa na wazazi wake
ππππππHapo bado hajagundua kwamba hao watoto nao sio wake.
Ndio maana wanaitwa Hawa, tuishi nao kwa akili. Nilishaona mke amempangia Mchepuko wake kwenye nyumba ya mume wake na kuishi kwa kupewa chakula kinacholetwa na Mume wake bila mume kujua, Hawa watu tuishi nao tu, unaishi na mtu bila kujua analowaza, Mungu ametuwekea Siri kubwa kwenye mioyo yetu.nππnishida