Zambia: Binti afungua kesi dhidi ya mpenzi wake kwa kuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka 8 bila kumuoa

Zambia: Binti afungua kesi dhidi ya mpenzi wake kwa kuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka 8 bila kumuoa

Mamaeeee[emoji16][emoji16][emoji16]

Mpaka tunafikishwa court .ama kweli wanaume Ni bidhaa adimu
Sema hawa Viumbe inaonekana emotionally waliwahi kuevolve kuliko sisi...Maana ni kama wanatutawala
Ni kama wazungu wawili walioongoza kundi la watumwa 1000.


Just imagine wao wako wengi almost 65-35
lakini wamemanage kui'overcome principle of scarcity ambayo inasema less supply means more demand.
Yani sisi ndo tunawatongoza,Tunawahonga,Tunawapigania,Tunawatolea mahali,Tunawabembeleza,Tunawatunza,Tunawalamba miguu

Wakati ilitakiwa iwe vice versa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema hawa Viumbe inaonekana emotionally waliwahi kuevolve kuliko sisi...Maana ni kama wanatutawala
Ni kama wazungu wawili walioongoza kundi la watumwa 1000.


Just imagine wao wako wengi almost 65-35
lakini wamemanage kui'overcome principle of scarcity ambayo inasema less supply means more demand.
Yani sisi ndo tunawatongoza,Tunawahonga,Tunawapigania,Tunawatolea mahali,Tunawabembeleza,Tunawatunza,Tunawalamba miguu

Wakati ilitakiwa iwe vice versa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah sure kabisa. Mengi uliyoyataja hapo yanachagizwa na Maandiko yaliyopo katika vitabu vya dini"
 
Yeah sure kabisa . Mengi uliyo yataja hapo yanachagizwa na Maandiko yaliyopo katika vitabu vya dini "
Hivi dini na watu nini kilitangulia? Kama ni dini Basi poa ila kama ni watu basi utagundua dini ni manifestation ya utamaduni wa watu walioileta... So kama hao watu wangekuwa wanamtawala mwanamke "emotionally" Hata dini zinge'manifestate hicho kitu pia.


So point yako ya dini inaprove tu kuwa hawa viumbe walianza kutawala Long time sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume tunasakwa kwa tochi thamani imepanda miaka hii
 
Good 8yrs?? Niko interested na ruling😂😂😂😂😂
 
Gertrude Ngoma (26) amefungua kesi akidai kupotezewa muda na kuchoka kusubiri kuolewa na Herbert Salaliki ambaye wamekuwa kwenye Uhusiano wa kimapenzi kwa miaka 8

Getrude amelalamika pamoja kuwa na mtoto na Salaliki lakini bado alikuwa anaishi na wazazi wake badala ya kuungana na mumewe.

"Mheshimiwa, hajawahi kuwa 'serious' ndio maana nimemleta mahakamani kwa sababu ninastahili kujua mbele na future yangu nae.

Katika utetezi wake, Salaliki aliiambia mahakama kuwa angelipenda kumuoa Getrude lakini hana pesa ya kufanya hivyo. Pia aliiambia mahakama kwamba hakukuwa na mawasiliano baina yao kwa sababu mpenzi wake Getrude hajawahi kumpa 'attention'

=========

WOMAN of Mushili in Ndola has sued a man she was engaged to for reconciliation after complaining that he had taken eight years without marrying her.

Gertrude Ngoma, 26, bought the matter before Kabushi Local Court accusing Herbert Salaliki, 28, of taking long to marry her despite promising to do so.

Ngoma complained that she had a child with Salaliki but she was still living with her parents instead of joining her husband.

She told the court that the two had never stayed together despite dowry being paid.

“Your honour, he has never been serious that is why I bought him to court because I deserve to know the way forward and my future with him,” she said.

Ngoma also told the court that Salaliki was involved with another woman whom he exchanged texts with.

In defence, Salaliki told the court that he wanted to marry Ngoma but had no money to do so.

He also told the court that there was no communication between the two because, Ngoma, never gave him attention.

Presiding magistrate Evelyn Nalwize advised the woman to sue for breach of marriage contract and further advised her that the court could not do anything because there was no marriage though dowry was paid.
She said reconciliation is for people in marriage.

(Source: Sunday Times of Zambia)
Dunia inakimbia mbioo
 
Kama namuona makonda ange iga kosa kupokwa madaraka.
 
Gertrude Ngoma (26) amefungua kesi akidai kupotezewa muda na kuchoka kusubiri kuolewa na Herbert Salaliki ambaye wamekuwa kwenye Uhusiano wa kimapenzi kwa miaka 8

Getrude amelalamika pamoja kuwa na mtoto na Salaliki lakini bado alikuwa anaishi na wazazi wake badala ya kuungana na mumewe.

"Mheshimiwa, hajawahi kuwa 'serious' ndio maana nimemleta mahakamani kwa sababu ninastahili kujua mbele na future yangu nae.

Katika utetezi wake, Salaliki aliiambia mahakama kuwa angelipenda kumuoa Getrude lakini hana pesa ya kufanya hivyo. Pia aliiambia mahakama kwamba hakukuwa na mawasiliano baina yao kwa sababu mpenzi wake Getrude hajawahi kumpa 'attention'

=========

WOMAN of Mushili in Ndola has sued a man she was engaged to for reconciliation after complaining that he had taken eight years without marrying her.

Gertrude Ngoma, 26, bought the matter before Kabushi Local Court accusing Herbert Salaliki, 28, of taking long to marry her despite promising to do so.

Ngoma complained that she had a child with Salaliki but she was still living with her parents instead of joining her husband.

She told the court that the two had never stayed together despite dowry being paid.

“Your honour, he has never been serious that is why I bought him to court because I deserve to know the way forward and my future with him,” she said.

Ngoma also told the court that Salaliki was involved with another woman whom he exchanged texts with.

In defence, Salaliki told the court that he wanted to marry Ngoma but had no money to do so.

He also told the court that there was no communication between the two because, Ngoma, never gave him attention.

Presiding magistrate Evelyn Nalwize advised the woman to sue for breach of marriage contract and further advised her that the court could not do anything because there was no marriage though dowry was paid.
She said reconciliation is for people in marriage.

(Source: Sunday Times of Zambia)
Breach of marriage contract! Which marriage? Hakimu anachemka!
 
Hii kitu Makonda alikuwa anaipambania hapa Dsm sijui aliishia wapi
 
Huo utaratibu wa kufungua kesi ukija bongo watashakiwa wengi😂😂😂😂
 
Sema hawa Viumbe inaonekana emotionally waliwahi kuevolve kuliko sisi...Maana ni kama wanatutawala
Ni kama wazungu wawili walioongoza kundi la watumwa 1000.


Just imagine wao wako wengi almost 65-35
lakini wamemanage kui'overcome principle of scarcity ambayo inasema less supply means more demand.
Yani sisi ndo tunawatongoza,Tunawahonga,Tunawapigania,Tunawatolea mahali,Tunawabembeleza,Tunawatunza,Tunawalamba miguu

Wakati ilitakiwa iwe vice versa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnatuwashia moto na Bado mnatukojoza..😂😂 mmeumbwa mateso.
 
Gertrude Ngoma (26) amefungua kesi akidai kupotezewa muda na kuchoka kusubiri kuolewa na Herbert Salaliki ambaye wamekuwa kwenye Uhusiano wa kimapenzi kwa miaka 8

Getrude amelalamika pamoja kuwa na mtoto na Salaliki lakini bado alikuwa anaishi na wazazi wake badala ya kuungana na mumewe.

"Mheshimiwa, hajawahi kuwa 'serious' ndio maana nimemleta mahakamani kwa sababu ninastahili kujua mbele na future yangu nae.

Katika utetezi wake, Salaliki aliiambia mahakama kuwa angelipenda kumuoa Getrude lakini hana pesa ya kufanya hivyo. Pia aliiambia mahakama kwamba hakukuwa na mawasiliano baina yao kwa sababu mpenzi wake Getrude hajawahi kumpa 'attention'

=========

WOMAN of Mushili in Ndola has sued a man she was engaged to for reconciliation after complaining that he had taken eight years without marrying her.

Gertrude Ngoma, 26, bought the matter before Kabushi Local Court accusing Herbert Salaliki, 28, of taking long to marry her despite promising to do so.

Ngoma complained that she had a child with Salaliki but she was still living with her parents instead of joining her husband.

She told the court that the two had never stayed together despite dowry being paid.

“Your honour, he has never been serious that is why I bought him to court because I deserve to know the way forward and my future with him,” she said.

Ngoma also told the court that Salaliki was involved with another woman whom he exchanged texts with.

In defence, Salaliki told the court that he wanted to marry Ngoma but had no money to do so.

He also told the court that there was no communication between the two because, Ngoma, never gave him attention.

Presiding magistrate Evelyn Nalwize advised the woman to sue for breach of marriage contract and further advised her that the court could not do anything because there was no marriage though dowry was paid.
She said reconciliation is for people in marriage.

(Source: Sunday Times of Zambia)
Hii hata hapa nyumbani Tanzania iko applicable, ni vile tu wengi wetu hatuzifahamu Sheria za ndoa na wala hatujisumbui kutaka kuzifahamu walau kwa uchache wake.

Kwa hapa unaweza kufungua kesi basing on "breach of a promise to marry", ambayo ndiyo itakuwa cause of action ya mlalamikaji.

Kwamba mwanamke unaaminishwa na mwanaume utaolewa, unaweka mategemeo yako yote kwake, baadaye anaingia mitini. Ukiwa na mwanasheria mzuri utapata fidia kubwa sana kutoka kwa mlalamikiwa (mwanaume).

Karibuni mnunue Kitabu cha Sheria nilichowaandikia, mahususi kwa wasomaji wasio wanasheria na wanasheria wachanga.

I humbly submit.
 
Back
Top Bottom