Wanaume Wakenya huwa wanapigwa na wake zao. So Ruto is likely to be beaten by his wife and not vice versaSiamini kama Ruto anaweza kufanya kitu kama hiko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume Wakenya huwa wanapigwa na wake zao. So Ruto is likely to be beaten by his wife and not vice versaSiamini kama Ruto anaweza kufanya kitu kama hiko.
Labda ni jirani yao..au mfanyakazi wao wa ndaniHahahaha...weh!
Hii ni mara ya pili unasema hivi, hizi stori zako unatoa wapi?
Kuna album walifanya yapamoja Koffi akamzunguka Papa Wemba jamaa akapiga Pesa kinoma, Papa Wemba akaja kujua badae alimaind sana na mahusiano yke na Koffi hayakua mazuri mpaka Papa Wemba anafariki..Naskia Koffi alilia sana.[emoji87] [emoji87]kwani ndio kafanya ile figisu iliyomuondoa Wemba?
Just loose her job
Mimi sipendezwi na matukio ya akina mama kupigwa! But the law is quite different when it comes to fights relating to spouses! I mean it is not a criminal offence per se!Muache hypocrisy nyie Wakenya. Na mumfute kazi DP Ruto who is notoriously fond of beating his wife to an extent of being admitted to hospitals in SA!