Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Samahani ni vice versa. Zambia ni landlocked (wapo ndani ya nyumba) wakati Tanzania ina access to the sea (Tupo nje).Hivi kama wewe umo ndani nyumba unasema hufungi mlango, wa nje akachukua funguo na kuufunga mlango wewe wa ndani utaendelea kufungua mlango huo kwa sababu wewe ulikataa kuufunga?
Bandari watatumia ya msumbiji na South Africa ambapo wapo wazi kwenye vita ya coronaNaam. Kiburi cha kujifanya kuwa una bandari. Wenzio wamejibana wee kwa ajili ya afya za watu wao, wewe unaweka pesa mbele na kufanya juhudi za majirani zako kuwa machozi ya samaki. Sasa atakoma. Wakiondoka, kuwarejesha tena hata baada ya ugonjwa itakuwa siyo rahisi.
Msumbiji kuna Bandari na South Africa Bandari ipoNdio mawazo wa mkuu wa kaya haya. Kwamba hawana namna. Ngoja tusubiri. Wataenda wapi wakati hapa Afrika sisi tu ndio wenye bandari?
Kiukweli Magu amewaumiza wenzake, bahati mbaya (kwao)Tanzania ipo kwenye a strategic position. Kiuchumi haingii akili kwa Zambia kwenda Bandari nyingine zaidi yetu.Ndio mawazo wa mkuu wa kaya haya. Kwamba hawana namna. Ngoja tusubiri. Wataenda wapi wakati hapa Afrika sisi tu ndio wenye bandari?
Bei ya bidhaa ikipanda bei atarudi Dar tu.Msumbiji kuna Bandari na South Africa Bandari ipo
Ukishabikia vijiwe misongamano mikusanyiko makanisani misikitini moja kwa moja unakuwa wewe CCMNi wapi nimeandika kuwa mimi ni CCM
Huenda wameshafanya risk assessment ya kutosha kati ya Durban, Beira na DSM, na DSM kuonekana kuwa na risk kubwa.Kwa hiyo wakiondoka watapitia wapi ambapo hakuna ugonjwa?
Sio kweli, nchi gani hizo wakati kama ni bandari kuna Mombasa, Durban na Beira na zote ni efficient kuliko Dar.Wao watafunga mipaka lakini sisi hatutafunga. Imagine! Tunategemewa na nchi nane!
Wakati huo corona itakuwa imekwisha na watanzania wengi watakuwa wamekufa huku wazambia wakinusurika maambukizi toka TanzaniaBei ya bidhaa ikipanda bei atarudi Dar tu.
Kaka kwa hali ya maisha yetu hapa tz watu lazima wakusanyike cha muhimu ni tahadhari tu kuzingatia,lakini mambo ya kujifungia wengi watakufa njaaaUkishabikia vijiwe misongamano mikusanyiko makanisani misikitini moja kwa moja unakuwa wewe CCM
Hamna kitu kama hiko Tanzania ikiwa na Corona basi majirani zetu lazima waendelee kuwa na Corona. Mipakani kuna njia za panya nyingi sana, acheni kujidanganya. Kama kufa tutakufa wote, sisi na majirani zetu.Wakati huo corona itakuwa imekwisha na watanzania wengi watakuwa wamekufa huku wazambia wakinusurika maambukizi toka Tanzania
Kiukweli Magu amewaumiza wenzake, bahati mbaya (kwao)Tanzania ipo kwenye a strategic position. Kiuchumi haingii akili kwa Zambia kwenda Bandari nyingine zaidi yetu.
Wana njia nyingi Mozambique, South Africa, AngolaSasa hatujamalizana na sukari mpaka unafungwa alafu hawa sindo miongoni mwa wale tuliaminishwa tukifunga mipaka watakufa njaa
Hii Geography ya darasa la pili sihitaji kurudi kusoma map.Tafadhali soma jiografia ya eneo hili utagundua kwamba itabidi usahihishe kauli yako.