Zambia: Mwanafunzi wa chuo akiri kuwaambukiza Virusi vya UKIMWI wahadhiri zaidi ya 50

Zambia: Mwanafunzi wa chuo akiri kuwaambukiza Virusi vya UKIMWI wahadhiri zaidi ya 50

Hiyo papuchi sipati picha iko na sura gani baada ya kuchakazwa na zaidi ya vidume 50+
 
Story nyingine zina utoto mwingi, kawapima hao watu??
 
Hayupo anayemsifu ila mtu kujidhania huna kwa hali hizo ati tu kwa sababu hajapima ni kujilisha upepo.

Walikuwapo pia kina special coach na magauni ya chui chui au yule wa BOT na IST nyekundu.

Ndiyo hivyo tena abiria kuchunga mzigo wake.

Hiyo ya special coach imenikumbusha mbali sana nilikua kadogo ila story zake bado sijazisahau KR hiyo
 
NAMUONA NI SHUJAA

WAKITOKEA MMOJA MMOJA WA HIVI KILA CHUO, TUTAKUWA PAZURI ZAIDI.
 
Mwisho wa story,,,isije kuwa Kuna muujiza kutoka Kwa Prophet wake amepona Sasa.Maana Manabii wa uwongo wamezidi Sana kwa Sasa.
 
Kulala na wanaume 52 bila kinga, haina maana amewaambukiza wote 52
 
Huyo dada kazingua sana,afu nasikia wanawake wa huko noma ukicheat anakuua na walivyo na miili mikubwa sasa wanaume wa huko kazi wanayo!
 
Back
Top Bottom