Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa hiyo Mbowe hawezi kuwa rais?Zambia ipo Tume huru,tofauti na Tume ya CCM.
nje ya mada , ili mtu awe Rais ni lazima kwanza agombeeKwa hiyo Mbowe hawezi kuwa rais?
Hii ya kushambuli ofisi may be na wafuasi watafuatia siiungi mkono hata kidogo. TUNAMKOSOA SAMIA KWA KUMUONEA MBOWE, kutofuata katiba, sheria etc. wasifanye hivyo. wASUBIR KILA ALIYEVUNJA SHERIA, KUUA, KUTEKA, KUPOTEZA AFIKISHWE MBELE YA SHERIA BILA UONEVUHii ni baada ya Taarifa kuanza kuzagaa nchini humo kwamba Rais huyo anayemaliza muda wake kutoka chama cha Patriotic Front ameangukia pua .
Edgar Lungu Rais aliyejipa utukufu wa kimungu kwa kupenda kuabudiwa kama walivyo Marais wengi duni wa Nchi za kiafrika, anayesifika kwa kuleta umasikini wa kutisha nchini humo enzi zake kama Rais wa Zambia zinaelekea ukingoni .
View attachment 1893394
View attachment 1893397
Naunga mkono hojaHii ya kushambuli ofisi may be na wafuasi watafuatia siiungi mkono hata kidogo. TUNAQMKOSOA sAMIA KWA kumunea mbowe, kutofuata katiba, sheria etc. wasifanye hivyo
Hao ni wahuni kama wa chademaHii ni baada ya Taarifa kuanza kuzagaa nchini humo kwamba Rais huyo anayemaliza muda wake kutoka chama cha Patriotic Front ameangukia pua .
Edgar Lungu Rais aliyejipa utukufu wa kimungu kwa kupenda kuabudiwa kama walivyo Marais wengi duni wa Nchi za kiafrika, anayesifika kwa kuleta umasikini wa kutisha nchini humo , enzi zake kama Rais wa Zambia zinaelekea ukingoni .
View attachment 1893394
View attachment 1893397
very sad, sisis CDM hatutafanya hivi!Hii ni baada ya Taarifa kuanza kuzagaa nchini humo kwamba Rais huyo anayemaliza muda wake kutoka chama cha Patriotic Front ameangukia pua .
Edgar Lungu Rais aliyejipa utukufu wa kimungu kwa kupenda kuabudiwa kama walivyo Marais wengi duni wa Nchi za kiafrika, anayesifika kwa kuleta umasikini wa kutisha nchini humo , enzi zake kama Rais wa Zambia zinaelekea ukingoni .
View attachment 1893394
View attachment 1893397
Zambia ipo Tume huru,tofauti na Tume ya CCM.
Mbona umewekewa video !Habari
Mkuu hawewezi kushinda kwa sababu ya Tume haiko huru .Siku Tume huru Ikipatikana hata wewe mwenye tabia za kimalaya wa kisiasa wa CCM utakuwa shuhuda.Basi machadema yenyewe yanajiona nayo yameshinda, ha ha ha.
Mmekalia kutengeneza vijisababu tu kila siku.Mkuu hawewezi kushinda kwa sababu ya Tume haiko huru .Siku Tume huru Ikipatikana hata wewe mwenye tabia za kimalaya wa kisiasa wa CCM utakuwa shuhuda.
Magufuli alishafariki miezi sasa !Mmekalia kutengeneza vijisababu tu kila siku.