Siku hizi unazidi kuwa wa Kawaida.Wapi!!! Uzembe tu na kutotumia akili, uwezo huo wa kutunisha misuli hamjafikia maana nyie ni nchi maskini ndani ya LDC, asilimia kubwa mnaishi chini ya kiwango cha umaskini, sasa mtaweza vipi kujibaraguza. Ukweli ni kwamba hamuna mahindi ya kutosha hivyo imewalazimu kuwafungia wakulima wasiuze nje na wawauzie nyie kwenye bei ya kawaida na kuwalemaza zaidi.
Hebu tusaidie hao watu waliotaka kulima wakanyang'anywa mashamba yao ni akina nani?!Wanaweza kupita beira port to msa.
hii ni chance yetu tumekosa.
kilimo hatukitilii mkazo maneno mengi.
ton 100,000 na sukari tungesafirisha.
tuna ardhi kubwa kuliko zambia
tuna maji mengi kuliko zambia...ila tuna uchoyo na roho kuchu..watu wakitaka kulima wananyanganywa mashamba yao.
zimbabwe ilikuwa ndio food basket ya afrika. Ikawanyanganya wazungu wazimbabwe mashamba yao.
leo wale wazungu ndo walokwenda zambia na mugabe na njaa yake ananunua huko zambia.
tradional kenya ardhi haitoshi hivo mara nyingi wanaagiza chakula hasa mahindi.
tutumie fursa hio kufanya biashara tuache siasa za kijinga jinga hizi ...
Watu wanaoishi chini ya kiwango cha umaskini kenya ni kubwa kuliko tz!Wapi!!! Uzembe tu na kutotumia akili, uwezo huo wa kutunisha misuli hamjafikia maana nyie ni nchi maskini ndani ya LDC, asilimia kubwa mnaishi chini ya kiwango cha umaskini, sasa mtaweza vipi kujibaraguza. Ukweli ni kwamba hamuna mahindi ya kutosha hivyo imewalazimu kuwafungia wakulima wasiuze nje na wawauzie nyie kwenye bei ya kawaida na kuwalemaza zaidi.
Yaani ninyi ni matajiri na sisi ni masikini kiasi hicho! Inawapasa mshukuru kuwa Wazambia tunawaheshimu na ni marafiki zetu wa kweli, vinginevyo mahindi yanfeputia bandari ya Durban ili matajiri wa Kenya myanunue kwa bei kama vile yanatoka sayari ya Mars.
BTW hakuna sababu ya kushandania maamuzi ya kijinga na ya kukomoana. Naamini Tanzania, Uganda na Kenya hazipishani sana kiuchumi; ni suala la muda tu sote tutakuwa sawa.
Vv
Watu wanaoishi chini ya kiwango cha umaskini kenya ni kubwa kuliko tz!
The World Factbook — Central Intelligence Agency
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Hivi hujiulizi kwa nini CIA wafanye survey tz af waskip Kenya?Umekosa data hadi unafuata za historia, sasa hiyo link inaonyesha data za Kenya mwaka wa 2012 ilhali nyie inaonyesha za hivi majuzi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Njoo ule biriani ya kuku na wine najua una njaa halafu umezoea kula ugali kila siki[emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii picha ume google weweLeta picha [emoji2]
Mimi mwenyewe ifakara baadaHebu tusaidie hao watu waliotaka kulima wakanyang'anywa mashamba yao ni akina nani?!
Pili utwambie hao watu walikaa nayo hayo mashamba kwa kipindi gani hadi kufikia kunyang'anywa!
Tatu kama unajua masuala haya twambie baada ya hao unaosema walinyang'anywa, hayo mashamba sasa hivi yanafanya nini?!
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Hivi hujiulizi kwa nini CIA wafanye survey tz af waskip Kenya?
Hoja hujibiwa na hoja, mimi nimeleta hizo, wewe leta za 2017 tuone Kenya iko wapi
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Iwapo hatuna mahindi na tumeyazuia yasitoke nje ya TZ,nchi yetu imepakana na nchi 7,inakuaje kenya ndio ionekane ndio inaumia sana,mpk mnahaha zambia kutafuta mahindi!bado kuzifungia ndege zenu tu halafu ndio mtajua nani anamuhitaji sana mwenzake kati yetuWapi!!! Uzembe tu na kutotumia akili, uwezo huo wa kutunisha misuli hamjafikia maana nyie ni nchi maskini ndani ya LDC, asilimia kubwa mnaishi chini ya kiwango cha umaskini, sasa mtaweza vipi kujibaraguza. Ukweli ni kwamba hamuna mahindi ya kutosha hivyo imewalazimu kuwafungia wakulima wasiuze nje na wawauzie nyie kwenye bei ya kawaida na kuwalemaza zaidi.
Iwapo hatuna mahindi na tumeyazuia yasitoke nje ya TZ,nchi yetu imepakana na nchi 7,inakuaje kenya ndio ionekane ndio inaumia sana,mpk mnahaha zambia kutafuta mahindi!bado kuzifungia ndege zenu tu halafu ndio mtajua nani anamuhitaji sana mwenzake kati yetu
Sent from my LG-D858HK using JamiiForums mobile app
Nyie hamna hela,mna njaa,na ndio maana hili jambo limewaathiri kuliko nchi zote zilizopakana na TZ,soon tunapiga ban ndege zenu ili mjue kama sisi ndio wababe wa ukanda huuSisi tuna hela hivyo tunafuata anayejituma na kulima mahindi ya kutosha, sasa nyie hapo ni wazi mna njaa hivyo uwezo wa kuuza nje hamuna na ndio maana mliwavizia wakulima wenu.
Sasa hela zetu zinawaendea Wazambia huku mkizimezea mate.
Hahaaaaaaaa!haki ya nani mbavu zinavunjika kwa kweli.Yani mai mai na wambote na m23 wangenufaika mno@mwanzi1Jamani, tukiwaambia Tanzania is the center of gravity wakenya mnakataa. Mmejaribu kupita Congo mmeshindwa, Mai-Mai wangekula mahindi yote na wasiwape hata maganda. Sasa mnamtumia Zambia ndio aje aombe njia. MK254 njoo hapa ukubali kama Baba wa EAC ni Tanzania.
Kabisa, unawapeleka mlo, wala wasinge jiuliza mara mbili.Hahaaaaaaaa!haki ya nani mbavu zinavunjika kwa kweli.Yani mai mai na wambote na m23 wangenufaika mno@mwanzi1
Sent from my HTC Desire 626s using JamiiForums mobile app
Hivi kweli umeisoma report hiyo uliyoleta hapa? Na kama hiyo ndo mara ya mwisho umesoma kuhusu kiwango cha umaskini tz na Kenya basi hakika unazeeka vibaya, tena vibaya kweli kweli maana hata kusoma umeshindwa!Ukileta data za kulinganisha hakikisha sio za zamani, Kenya ya 2012 sio ya leo, watoto waliozaliwa wakati huo tayari wanabalehe. Miaka hiyo tulikua tunatajwa kama nch maskini kama mlivyo leo, tulishavuka huo mstari.
Na kwa taarifa zako mara ya mwisho nilisoma kwamba maskini kwenu ni 70% Tanzania Mainland Poverty Assessment: A New Picture of Growth for Tanzania Emerges
Wewe una point chache za msingi ila unaathiriwa na ishabiki wa chama!Mimi mwenyewe ifakara baada
sumaye
lowassa
arusha wahindi walikuwa wanalima ngano wamekua wakuchomewa kila siku mwisho wakaambiwa waache wazawa wanataka nchi yao
sasa hivi wanakula ngombe
huko huko arusha muingereza Sarah ...ametuandika sana kwenye mitandao na europe
kuna wengine huko arusha wafugaji wakiambiwa makusudi waingize ngombe shambani kwake..
alipo amua kuweka senyenge na dawa wasije ikawa ndo mwisho
wakulima kila siku wako frusted na wafugaji mwisho wanaacha
majuzi lukuvi kataifusha mashamba kisa hayana kitu....kumbe yapo katika matayarisho ya mikopo kuanza commercial farming.
the bottom line tunayo ardhi hatuitumii ..fursa hizi kenya sio za kwenda zambia....let us wake up. Tuchangamkie fursa hizi...
tuwe na policy madhubuti za kilimo
jee tunalima kujilisha tu ? Au tunataka kuingiza mapato ?
Jkt wana mashamba kibao yapo pori
lukuvi anataifisha mashamba makubwa halafu anagawa eka moja moja kwa vijiji...kweli tutafika
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Nyie hamna hela,mna njaa,na ndio maana hili jambo limewaathiri kuliko nchi zote zilizopakana na TZ,soon tunapiga ban ndege zenu ili mjue kama sisi ndio wababe wa ukanda huu
Sent from my LG-D858HK using JamiiForums mobile app
Aisee naona umeamua kujifariji[emoji13] [emoji13]Nyie ndo mna njaa zaidi kuliko nchi zote kanda hili, amini usiamini.
Tanzania ndio kumeshuhudia baa mbaya zaidi ya njaaAisee naona umeamua kujifariji[emoji13] [emoji13]
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.